Utando Mweupe Wakati wa Kujamiiana....(Ishara ya Uaminifu ndani ya mahusiano)

Kaka kubali tu ukweli, km huwa huoni kwako ucjickie vibaya
 
kwa hiyo usipopigwa mswaki meno yakawa manene kwa mabaki ya chakula ni dalili ya shibe?

Wonders shall never end.

Kaka umeeleweka. Watu hawawezi kukubali kwa kuwa umewagusa. Naunga mkono hoja mia kwa mia
 
Sasa akafanye uchunguzi kwa demu wa mtu mwingine? Ataamini vp km demu hy ana wiki hajaSex?Hajaongelea wetting, kasema akikutana nae mara ya kwanza after a week ndo anakuwa hivy, baada ya hapo huo utoko unakuwa haupo tena, hy inatokea tu baada ya kukaa zaidi ya wiki hajakutana nae. Fanya uchunguzi kwa hy wa kwako, muache wiki mbili af uje uone, nafikiri unaweza kuunga mkono hoja, km utakuwa muungwana
 
jamani nahisi ni uchafu tena mkubwa sana umejaribu kuunusa unanunikiaje? please jaribu halafu uniambie ikibidi nenda kwa doctor ujue zaidi please
 
Nshkuru Babu na bibi pia kulelewa kijijini. kufunzwa mila na desturi na dini pia maswala kama hayatupi shida kabisaa. hiliswala nikweli kama chumba hakitumiki huwa hivyo na sio uchafu wala haina mahusiano na wepesi au uzito wa manii. manii na hiyo dalili ni tofauti kabisa
 
nafikiri anaongelea yale majimaji kama mchuzi wa maji ya mchele ule mzito kidogo ambao huwa unatoka mwanamke akiwa hot yaani wakati mnaduuu akiwa amepandisha mashetani kisawasawa, ule sio kwamba ni mnyumbuliko unaonyumbuka sanaa kama kamasi lakini ni kama majimaji ya mchele mazito ambayo yanalainisha k na ambayo yanatoka tu pale mwanamke anapokuwa amefurahia tendo...ila kwamba kunakuwa na utando, sijawahi kuona tangu nianze hii fani.....utando ukoje, ikama buibui? kama udenda wa asubuhi ukiamka, mbona haeleweki kabisa aisee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…