utangazwaji wa matokeo ya CSEE wiki hii

Nokia3D

Member
Joined
Feb 2, 2013
Posts
74
Reaction score
1
Kutokana na kashfa mbaya ya kulaumiwa kwa matokeo ya CSEE kuwa mabaya hapo awali,ikapelekea kufutwa na kupangwa upya kufuata vigezo vya mwaka 2011 kwa walio kuwa candidates.
Ni tetesi kuwa umalizwaji wa kupangwa kwa matokeo kukamilika...JE Tutegemee nini endapo hakutokuwa na umakini?!
 
kama huoo umakini ulikosekana katika hatua ya awalii kabisaa itakuwa hii ya pilii?,wamejioshaa kiujanja tuu,may be watapunguza zero ili wapate pa kupigia kampen tuu
 
mmmmmh! hapo tegemeen majanga mengine 2015 wakati hao watakaopita si watakuwa kidato cha sita wakipambana vikali na uchaguzi,je kama sensa tu matokeo hayo sembuse uchaguzi! yan nouuuma!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…