Utani gani umewahi kumtania mpenzi wako ikawa ndio sababu ya yeye kukuacha au kusababisha ugomvi mkubwa.

Utani gani umewahi kumtania mpenzi wako ikawa ndio sababu ya yeye kukuacha au kusababisha ugomvi mkubwa.

Nilimwita mwanamke siket kwasababu nilinunua nyama nkamwambia apike, ile nmerudi kutoka chuo nikiwa nmejiandaa kula pishi la mrembo... cha ajabu nakuta amepika viazi akachanganya na zile nyama alafu akakoroga ikawa kama uji....
Namuuliza pishi gani hili anasema alizidisha maji, nkamwambia kweli wewe mwanamke sketi...
Alivorudi kwake akaniblock nikamtafta na namba ingine, nkamuuliza kimetokea nini akadai nitafte mwanamke mwingine coz yeye ni mwanamke sket
 
Ukivua wigi Unakichwaa kama cha mjomba wako juma
 
Back
Top Bottom