Utani: Mara paah Genta kapewa kibuyu cha asali, atakilinda au atakilamba chote?

Utani: Mara paah Genta kapewa kibuyu cha asali, atakilinda au atakilamba chote?

Munch wa annabelletz47

JF-Expert Member
Joined
Aug 13, 2019
Posts
1,885
Reaction score
3,227
Kama kichwa cha habari hapo juu kinavojieleza, huyo kiumbe Genta anaongea ongea sana humu kujifanya yeye ndo anajua kila kitu kana kamba viongozi wetu wapenda hawafanyi kazi nzuri vile na anavoonekana ni mtu mwenye uchu na madaraka sasa nauliza ikitokea akipewa kibuyu cha asali hata wilayani tu atakitunza au nimaneno maneno tu anajiongelishaga kujifanya malaika

kibuyu.jpeg
 
Kama kichwa cha habari hapo juu kinavojieleza, huyo kiumbe Genta anaongea ongea sana humu kujifanya yeye ndo anajua kila kitu kana kamba viongozi wetu wapenda hawafanyi kazi nzuri vile na anavoonekana ni mtu mwenye uchu na madaraka sasa nauliza ikitokea akipewa kibuyu cha asali hata wilayani tu atakitunza au nimaneno maneno tu anajiongelishaga kujifanya malaika

View attachment 2419331
Andaa condom anakuja
 
mfano wa majibu ya mwamba.
[emoji116]
mimi sio mjinga(tahira) kama wewe chizi(mwehu) usie na akili wa kukataa(kupinga) teuzi,kama kichwa chako kikubwa(kisicho na akili) kitakua na fikra za mimi jenta kukataa basi ume(vaba)potea[emoji23][emoji28]
 
Duh! maajabu haya!!!?? mpaka sasa hivi hajaja!!??
TANESCO leo wamenikatili kwa Kukata Umeme tokea Saa 1 Kamili Asubuhi na Kuurudisha Saa 12 na Nusu Jioni hivyo Simu yangu nayo haikuwa na Chaji kabisa ndiyo nimeingia JamiiForums na Kwingine ( Facebook, Instagram na Twitter ) Saa 3 na Nusu hii.

Nime Log In hapa JamiiForums Saa 4 Kamili na nitakuwepo hadi Saa 7 Kamili za Usiku.

Sijui nimjibu nini Mleta Uzi kwa alichokiandika juu yangu ila niseme tu Kwake Asante kwa kuwa Akilini mwake 24/7 mpaka kunianzishia huu Uzi na ukiona mpaka Unaanzishiwa hivi Uzi jua Wewe ni Mbarikiwa na una Nyota Kali ( Natural Charm ) ya hali ya juu.

Asante Baba sana Mwenyezi Mungu.

Cc: johnthebaptist
 
mfano wa majibu ya mwamba.
[emoji116]
mimi sio mjinga(tahira) kama wewe chizi(mwehu) usie na akili wa kukataa(kupinga) teuzi,kama kichwa chako kikubwa(kisicho na akili) kitakua na fikra za mimi jenta kukataa basi ume(vaba)potea[emoji23][emoji28]
hahaha. Ngumbaru umesahau ... Ila jamaa ana mengi ya kufundisha.
 
Back
Top Bottom