Utani Mbaya Kwa Rais Wetu...

Iyo video imewekwa voice na muhindi koko wa apa TANZANIA

CCM DAMUDAMU!!!,CHAMA CHA MAMA &BABA
You're right... tena huyo "Muhindi Koko" baada ya kuweka voice baadae akatumia photoshop ku-fake picha ili jamaa aonekane amevaa barakoa na glove wakati anataka kukata papai!
 
Lakini ndoto bado zinaendelea ingawa walitaka kuzizima.
 
You're right... tena huyo "Muhindi Koko" baada ya kuweka voice baadae akatumia photoshop ku-fake picha ili jamaa aonekane amevaa barakoa na glove wakati anataka kukata papai!
Nakwambiaje iyo video haikua na ujumbe huo bali umepachikwa voice tofauti na mwanzo

CCM DAMUDAMU!!!,CHAMA CHA MAMA &BABA
 
Nakwambiaje iyo video haikua na ujumbe huo bali umepachikwa voice tofauti na mwanzo

CCM DAMUDAMU!!!,CHAMA CHA MAMA &BABA
You're right... tena huyo "Muhindi Koko" baada ya kuweka voice baadae akatumia photoshop ku-fake picha ili jamaa aonekane amevaa barakoa na glove wakati anataka kukata papai!
 

Duuh, mkuu sio kwa hasira hizo, umeshafuturu?
 
true...jamaa ni fake fake
 
Hii serikali ya kishetani imeshaitangazia dunia kua vyakula vyetu vina corona.....Ushamba na ulimbukeni wa madaraka
 
Hii serikali ya kishetani imeshaitangazia dunia kua vyakula vyetu vina corona.....Ushamba na ulimbukeni wa madaraka
Si wangempa urais hata marehemu Jaji Agustino Ramadhan R.I.P. Mungu tuepushe na hiki kikombe angalau mama Samia awe rais tupunguze kuchekwa na majirani na dunia nzima
 
Si wangempa urais hata marehemu Jaji Agustino Ramadhan R.I.P. Mungu tuepushe na hiki kikombe angalau mama Samia awe rais tupunguze kuchekwa na majirani na dunia nzima
Tulilo nalo ni libalaa haswaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…