OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Kuna kipindi yanga walicheza bila Jersey wakiwa vifua waz ndomana wakawaita gongo waziUmeniwahi hata mimi nilitaka kuuliza
Kuna mtu nilimuita gongo wazi alimaind sana
Haji manara ndio anapenda kulitumia sana hili neno
Mwaka ganiOk..zamani Yanga walikuwa wanacheza bila jerseys ndio maana wakaitwa gongo wazi...pia nilisikia kuna mechi timu ya Simba ililazimishwa kuvua viatu ili kuwa sawa na wapinzani wao yanga.
hahahaOk..zamani Yanga walikuwa wanacheza bila jerseys ndio maana wakaitwa gongo wazi...pia nilisikia kuna mechi timu ya Simba ililazimishwa kuvua viatu ili kuwa sawa na wapinzani wao yanga.