Utani mwingine sio mzuri

Mchawi huyo kawafanya mijibwa mazezeta
 
trained dogs, hawafanyi kitu bila komandi hao, na hiyo ilikuwa part ya mtihani wao
 
Nijapopita katika bonde la uvuli wa mauti, sitaogopa mabaya, maana wewe upo!
Shida ni kwamba watu hawajui hatari zinazowakabili at any time wapitapo popote!
Yamkini wewe wajiona salama, lakini kwa macho ya kiroho umezungukwa na wadudu wabaya kuliko mbwa rafiki!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…