BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,767
- 23,198
Looh hii kali sana ,Lakini sio suluhu nzuriHapo ili kupata suluhu ya uhakika subiri mkeo na yeye abanduliwe. Ukiona mmepatana tu ujue kuna mtu kashamgonga
Pole sana mkuu,
Ulipokosea wewe ni kuondoka nyumbani. Rudi nyumbani haraka na umuombe msamaha maana hilo ni kosa. Hata mimi mkuu yamesha nikumba hayo hayo na imenifanya sasa niache kabisa mizaha na watoto wa kike. hawa viumbe siku hizi hawataniwi wamekuwa kama maharage ya mbeya maji mara moja.
Pole sana mkuu,
Kuna msichana nafanya naye kazi katika kampuni moja. Sasa tumezoea kweli kutaniana na kuitana majina ya Kimahaba huku kukiwa hakuna uhusiano wowote wa Kimapenzi. Jana saa nne usiku nikiwa nafanya kazi zangu kwenye kompyuta sebuleni na simu ikiwa chumbani akanitumia ujumbe unaosomeka "Honey, its too cold today, I wish you could be beside me now, I cant Imagine how the situation could be". Aisee, mama watoto alikuwa kajipumzikia kitandani huyoo akaamka na kwenda mezani, akachukua simu na kusoma meseji. Kilichojiri hapo nilisikia mlango wa chumbani umefunguliwa, baadaye nikasikia paa, nimepigwa kofi zito la shavuni. Nilipozinduka nikamkuta analia, akaniambia haya twende chumbani ukavae uende ukampe joto huyo malaya wako. Nikasita, nikapigwa tena kofi la begani na kuambiwa nyanyukaaaa, malaya mkubwa wewe. Unataka kuniuwa niache watoto wanakula shida na malaya zako. Kwa kweli ilikuwa ni zengwe sana. na leo nimemkia hotel, baada ya kuona vurugu inataka kuanza kushirikisha majirani. Wife amekataa kabisa kunielewa, leo nimempigia simu hapokei, meseji hajibu binti nimemueleza yaliyonikuta kwa sababu ya ushenzi wake anachekacheka tu, natamani nimmeze kwa kweli. Natafakari nielekee wapi nkitoka hapa kazini.Nawasilisha kwa ushauri.
Wahi Loliondo tu mkuuKuna msichana nafanya naye kazi katika kampuni moja. Sasa tumezoea kweli kutaniana na kuitana majina ya Kimahaba huku kukiwa hakuna uhusiano wowote wa Kimapenzi. Jana saa nne usiku nikiwa nafanya kazi zangu kwenye kompyuta sebuleni na simu ikiwa chumbani akanitumia ujumbe unaosomeka "Honey, its too cold today, I wish you could be beside me now, I cant Imagine how the situation could be". Aisee, mama watoto alikuwa kajipumzikia kitandani huyoo akaamka na kwenda mezani, akachukua simu na kusoma meseji. Kilichojiri hapo nilisikia mlango wa chumbani umefunguliwa, baadaye nikasikia paa, nimepigwa kofi zito la shavuni. Nilipozinduka nikamkuta analia, akaniambia haya twende chumbani ukavae uende ukampe joto huyo malaya wako. Nikasita, nikapigwa tena kofi la begani na kuambiwa nyanyukaaaa, malaya mkubwa wewe. Unataka kuniuwa niache watoto wanakula shida na malaya zako. Kwa kweli ilikuwa ni zengwe sana. na leo nimemkia hotel, baada ya kuona vurugu inataka kuanza kushirikisha majirani. Wife amekataa kabisa kunielewa, leo nimempigia simu hapokei, meseji hajibu binti nimemueleza yaliyonikuta kwa sababu ya ushenzi wake anachekacheka tu, natamani nimmeze kwa kweli. Natafakari nielekee wapi nkitoka hapa kazini.Nawasilisha kwa ushauri.
Tena kama wewe nyumba kubwa, mumeo ndiyo rahisi kwelikweli! basi tu hujuiKuna mdada mmoja ofisini ni dirvocee huwa namsikia anaongea na waume za watu kwenye phone, yaani napata hasira on behalf. Anaongelea mambo ya faragha kabisa so tempting. Afu akimaliza anasema huyu kijana tunatanianaga. Ni full matusi. Ni sawa na kuangalia movie za X na mume/mke wa mtu. Maanake asojua kuwa matani yanaamasisha nani?
huyo binti anakutaka ila wewe unaona ni kama mzaha, fanya uamuzi haraka wa kutojibu au kupokea simu zake na pia mwambie masihara yenu yafike kikomo au yaishie huko huko ofisini, itafika wakati mke wako anaweza choka na hayo anayoyaona na akaamua nae kufanya yale anayodhani wewe unayafanya. KUWA MAKINI ...UIKIMWI UNAUA!
Mimi nimeshtuka kusikia hivyo ila kwa sababu sina facts nimebaki kuguna tu!!!
Asavali umesema...one of my investments ni mmachame sasa nlishaanza kuogopa.
mrs mkali hivyo.huyo dada wa ofisini ulimzoesha vibaya,matokeo yake umelikoroga.mpe muda mke wako,muelezee hali halisi,ingawa itachukuwa muda sana kukuamini.maana msg ni ushahidi tosha,haijalishi kama mnataniana au hamtaniani,maana kwa hayo maneno,hata mimi ningehisi huyo ni mpenzi wako tu.na huyo dada muambie kuanzia leo,wewe na yeye matani basi,hata ofisini msitaniane,sio kwa huyo tu,hata kwa wasichana wowote wale,wewe sasa umeoa, jaribu kujiwekea mipaka unapozungumza na wasichana wengine.maana wadada wengine ukimregezea kidogo,kosa kama hilo linaweza kutokea au zaidi ya hilo
Kuna mdada mmoja ofisini ni dirvocee huwa namsikia anaongea na waume za watu kwenye phone, yaani napata hasira on behalf. Anaongelea mambo ya faragha kabisa so tempting. Afu akimaliza anasema huyu kijana tunatanianaga. Ni full matusi. Ni sawa na kuangalia movie za X na mume/mke wa mtu. Maanake asojua kuwa matani yanaamasisha nani?
Sio aishie ofisini tu! Yaani aache kabisa utani na huyo binti. Watu wengine hawataniwi ati! Kwa mtu anayejua kuwa huyu ni mmilikiwa wa mtu utani huishia mkitoka mjengoni mnakopiga mzigo. Kaa naye mbali ana dhamira ya kuwa mama mwenye nyumba babu!