Utani na Msichana ninaye fanya naye kazi unataka kunivunjia ndoa yangu

Pumb---u hizi tabia lazima tuzikomeshe!! ila nimeipenda story yako na nimekupa thanx
 
Pole sana kaka,cha msingi sitisha mazoea na huyo dada na mweleze yaliyokupa kwa sababu ya sms yake.na mkeo mweleze ukweli ukiona hakuelewi basi tafuta mzee akusaidie
 
Ma mangi ha haiwezekani chalii msichana hata ka kama mna utani kiasi gani akakutumia sms kama hiyo tena usiku na akifahamu una mke hapo kuna kitu hujatueleza,mi naona uligonga mara 1-2 na sasa ulitaka kumwacha nae kaamua kuchafua,ni mawazo yangu tuu.
 
mmmh! Kuamini hii inabidi bibie awe na kichwa cha panzi.
 

Mhhhh!!! VoR, kama hujazoea kusema uongo sio rahisi kupata mawazo kama hayo! Labda awe ni mzoefu, kwahiyo lazima ajiandae kwa situatio kama hiyo! Otherwise utabaki unashangaa tu........
 
to some extent uliamua vyema kuondoka ili ugomvi usiwe wa kijiji. Rudi home atakuwa keshapoa akigomba kalete mkeka lala chini tena bila cha kujifunika,mara 2 atalainika atakufata hapo hapo chini...baba naniliuh twende kalale kitandani....hapo unatumia nafasi vizuri ktk kuleta suluhu na utani tani uachage bwana!
 
Mchukue huyo msichana muende naye nyumbani mkaombe msamaha. Mueleze mkeo ukweli mbele ya huyo msichana.
Ikiwezekana nenda na mzee. Najua mkeo ni muelewa, atakuelewa tu.
 
Nashauri uchukue mtumishi mwenzako mmoja mwenye busara ajuaye uhusiano wenu wa utani na huyo dada, chukua na huyo dada mtani wako nendeni kwa mama watoto hali halisi ielezwe na yule mwenye busara na huyo binti naye aeleze kinaga ubaga, akiri kufanya uatani na wewe, akiri kutuma meseji hiyo, akiri haikulenga mahusiano halisi ya kimapenzi na wewe na mwisho aombe radhi kwa usumbufu uliojitokeza na hatimaye aahidi hatarudia tena utani wa jinsi hiyo.
 

mkeo ana mapenzi ya kweli na wewe ingawa ni mkali lkn kwa watu wa aina yako huyo anakufaa sana. Unaonekana ni kiwembe wa chini chini, huyo dada kama hujammega basi ulishamtengenezea mazingira na yeye akahisi unamchelewesha. Ulikosea sana kwenda kulala hotelini, nani atathibitisha madai yako?? ungaliweza kwenda kulala kwa bestman wako au ungeenda kwa matron wake na kumuomba ampigie simu amtaarifu kwamba uko kwake, mengine mngeeongea asubuhi yake ... hili angalau lingalimpunguzia hasira na ku-keep a certain trust katika utetezi wako ... lkn kwa ulivyofanya umeshaharibu big time mtu wangu ... hakuna kitu kibaya katika ndoa kama ku-lose trust ya mkeo ... ni suala la muda tu kabla ya kumegewa, unless otherwise awe na msimamo wa ajabu sana.

rudi nyumbani mapema, tafuteni mazingira ya utulivu na mkaliongee hilo tatizo na mkeo, jitahidi uwezavyo mambo ya familia yako yaishie katika kuta kuta nne za chumba chenu!!

pole mangi!!
 
Mhh kaka kumbe na wewe umekaliwa hivyo unazabwa vibao?pole kwa yaliyokukuta wenzio tukifika home huwa tunazima simu mpaka asubuhi
 

Vipi mangi umesharudi home? hebu tupe maendeleo.
 
Mama makonde yalizidi jamaa kaona bora aokoe uso wake, yaonekana huyo mama ni noma...jamaa mpaka kakimbia ULINGO...huyo atakuwa ASHA NGEDERE nini

Lol...
Magu umenivunja mbavu walah!..,.. Looo.. Kweli huyo wife ni noma bt jamaa kayataka mwenyewe...
 
Mhh kaka kumbe na wewe umekaliwa hivyo unazabwa vibao?pole kwa yaliyokukuta wenzio tukifika home huwa tunazima simu mpaka asubuhi

Khaaaa!
Wewe nae unamwona mangi kakaliwa? Mbona hata wewe umekaliwa pia? Why uzime cm kama sio unaogopa vibao? Kuzima cm ni ishara ya WOGA kwa wife, kama unajiamini acha cm on tena chumbani afu kakae sebuleni km hayajakukuta yaliyomkuta mangi.
 
Khaaaa!
Wewe nae unamwona mangi kakaliwa? Mbona hata wewe umekaliwa pia? Why uzime cm kama sio unaogopa vibao? Kuzima cm ni ishara ya WOGA kwa wife, kama unajiamini acha cm on tena chumbani afu kakae sebuleni km hayajakukuta yaliyomkuta mangi.
Halafu wewe.........Kesi yetu tafuta wakili mzungu!
 
Pole sana kwa yaliyokukuta mkuu,
Inaonekana ulizidisha utani na huyo dada na haya sasa ni madhara yake. nakushauri tu kwa nyakati zijazo kwa mtu married kama wewe jaribu kuwa na mipaka ya utani na marafiki wako wa jinsi tofauti ili yasije kukukuta yaliyokukuta.
Kwa hili lililotokea, ni kama maji yameshamwagika , hayawezi kuzoleka ......

Pole ...
 
Mhhhh!!! VoR, kama hujazoea kusema uongo sio rahisi kupata mawazo kama hayo! Labda awe ni mzoefu, kwahiyo lazima ajiandae kwa situatio kama hiyo! Otherwise utabaki unashangaa tu........
Unajua sometimes ukweli unaonekana ni uongo kuliko ukweli.., kwahiyo hapo mtu inabidi ufanye kila kitu ili kuokoa ndoa, na hapo akili inabidi ifanye kazi..., kwahiyo angeanza kwa kucheka sana angekuwa anacheka huku akili inafanya kazi
 
God has seen you struggling with something. God says its over. A blessing is coming your way. If you believe in God send this message on, please don't ignore it, you are being tested. God is going to fix two things (BIG) tonight in your favour. If you believe in God, DROP EVERYTHING AND PASS IT ON.TOMORROW WILL BE THE BEST DAY OF YOUR LIFE. DONT BREAK THIS CHAIN. SND THIS TO 14 FRNDS IN 10MINS WEN U READ....
 
Utajuuta kumfahamu..ingekuwa mie sijui ningetumbukiza simu kwenye ndoo ya maji kwanza
Sina kusema ..imagine ndo mkeo ana utani wa hivo na mtu wewe ungefanya nini?
This is tooooooooooooooooooo much Mangi meru sijui mangi sina ...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…