Utani umewahi kukupeleka pabaya???

Utani umewahi kukupeleka pabaya???

Rule L

JF-Expert Member
Joined
May 31, 2020
Posts
1,846
Reaction score
2,754
Habari wanajamvi, natumai mmeamka salama salmini.

Kama mada inavyosema, utani hua ni mameno ya hapa na pale,
mara nyingine ni ya ukweli ila yanawasilishwa kwanjia ya utani.

Ila utani mara nyingine huota meno ya sumu na kusababisha ugomvi mkali, pengine mpaka kupigana.

Binafsi kuna kisa Cha rafiki yangu ambaye alifikia pabaya kisa utani.
Ilikua ni Arusha mjini pale maeneo ya mount meru hospital.

Sasa jamaa alikua anatembea tu kwa mguu akawa anakatiza pale maeneo ya mochwari, akawa anapishana na watu wamebeba jeneza .

Wale jamaa kutokana na msiba kuwavuruga wakamfokea jamaa yangu kwamba, we mpuuzi unaona tumebeba jeneza alafu nawewe unajipitisha tu, we mwehu nini??

Jamaa yangu akaangalia pale watu walivyo wengi mixer piss kali akaona usinitanie Mimi mwenyewe nipo vizuri kwenye maneno.

Akawaambia mnanitukana kwakosa gani? Kwani hii si njia?? Mtu wenu kajifia na ukimwi huko mje mnitukane Mimi? Sikumwambia akafanye umalaya. Nendeni mkafukie huko
Nyie mabwege nini.

Baada ya hapo palichimbika kwanza kabisa wale jamaa wakashuasha jeneza chini alafu wakamwambia huyu si amekufa kwa ukimwi wewe tunakuua sisi 😆😆😆😆😆 Mimi ilibidi nicheke sana wakati ananisimulia.

Wakaanza mbio walimkimbiza kutoka pale mochwari hadi maeneo ya clock tower pale nmb bahati nzuri akakuta kuna magari yamepark pale akajificha chini ya uvungu wa gari, pale kulikua na mdada ambaye wanasimamiaga ushuru wa parking.

Akamwambia kuna watu wananikimbiza wakija waambie ameenda.

Mara kidogo jamaa Hawa hapa wakamuuliza yule dada akawajibu ameelekea upande ule. Wakaangaza angaza hawakumuona ikabidi warudi. Akawa anasawasikia wanaosema tule mjinga ana MUNGU ilikua afe Leo yaani mama yetu kafa kwa ukimwi, pumbavu kabisa.

Baada ya hali kua shwari jamaa akatoka akaanza safari yake,

kila nikikumbuka huaga nacheka sana, maana jamaa alivyoniona tu alicheka vibaya mno alafu akanimbia jamaa yangu Leo ilikua nife usingiona nikiwa hai tena nikamuuliza kwanini ndo akanipa huo mkasa.

Mi naona hapo kila mtu alikua ana kosa, wenye msiba walizingua jamaa yangu naye akaja akazingua zaidi.

Muwe na siku njema
 
Habari wanajamvi, natumai mmeamka salama salmini.

Kama mada inavyosema, utani hua ni mameno ya hapa na pale,
mara nyingine ni ya ukweli ila yanawasilishwa kwanjia ya utani.

Ila utani mara nyingine huota meno ya sumu na kusababisha ugomvi mkali, pengine mpaka kupigana.

Binafsi kuna kisa Cha rafiki yangu ambaye alifikia pabaya kisa utani.
Ilikua ni Arusha mjini pale maeneo ya mount meru hospital.

Sasa jamaa alikua anatembea tu kwa mguu akawa anakatiza pale maeneo ya mochwari, akawa anapishana na watu wamebeba jeneza .

Wale jamaa kutokana na msiba kuwavuruga wakamfokea jamaa yangu kwamba, we mpuuzi unaona tumebeba jeneza alafu nawewe unajipitisha tu, we mwehu nini??

Jamaa yangu akaangalia pale watu walivyo wengi mixer piss kali akaona usinitanie Mimi mwenyewe nipo vizuri kwenye maneno.

Akawaambia mnanitukana kwakosa gani? Kwani hii si njia?? Mtu wenu kajifia na ukimwi huko mje mnitukane Mimi? Sikumwambia akafanye umalaya. Nendeni mkafukie huko
Nyie mabwege nini.

Baada ya hapo palichimbika kwanza kabisa wale jamaa wakashuasha jeneza chini alafu wakamwambia huyu si amekufa kwa ukimwi wewe tunakuua sisi 😆😆😆😆😆 Mimi ilibidi nicheke sana wakati ananisimulia.

Wakaanza mbio walimkimbiza kutoka pale mochwari hadi maeneo ya clock tower pale nmb bahati nzuri akakuta kuna magari yamepark pale akajificha chini ya uvungu wa gari, pale kulikua na mdada ambaye wanasimamiaga ushuru wa parking.

Akamwambia kuna watu wananikimbiza wakija waambie ameenda.

Mara kidogo jamaa Hawa hapa wakamuuliza yule dada akawajibu ameelekea upande ule. Wakaangaza angaza hawakumuona ikabidi warudi. Akawa anasawasikia wanaosema tule mjinga ana MUNGU ilikua afe Leo yaani mama yetu kafa kwa ukimwi, pumbavu kabisa.

Baada ya hali kua shwari jamaa akatoka akaanza safari yake,

kila nikikumbuka huaga nacheka sana, maana jamaa alivyoniona tu alicheka vibaya mno alafu akanimbia jamaa yangu Leo ilikua nife usingiona nikiwa hai tena nikamuuliza kwanini ndo akanipa huo mkasa.

Mi naona hapo kila mtu alikua ana kosa, wenye msiba walizingua jamaa yangu naye akaja akazingua zaidi.

Muwe na siku njema
🤣🤣
 
Haikua utani,ni dhihaka. Halali afurushwee.
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
 
Habari wanajamvi, natumai mmeamka salama salmini.

Kama mada inavyosema, utani hua ni mameno ya hapa na pale,
mara nyingine ni ya ukweli ila yanawasilishwa kwanjia ya utani.

Ila utani mara nyingine huota meno ya sumu na kusababisha ugomvi mkali, pengine mpaka kupigana.

Binafsi kuna kisa Cha rafiki yangu ambaye alifikia pabaya kisa utani.
Ilikua ni Arusha mjini pale maeneo ya mount meru hospital.

Sasa jamaa alikua anatembea tu kwa mguu akawa anakatiza pale maeneo ya mochwari, akawa anapishana na watu wamebeba jeneza .

Wale jamaa kutokana na msiba kuwavuruga wakamfokea jamaa yangu kwamba, we mpuuzi unaona tumebeba jeneza alafu nawewe unajipitisha tu, we mwehu nini??

Jamaa yangu akaangalia pale watu walivyo wengi mixer piss kali akaona usinitanie Mimi mwenyewe nipo vizuri kwenye maneno.

Akawaambia mnanitukana kwakosa gani? Kwani hii si njia?? Mtu wenu kajifia na ukimwi huko mje mnitukane Mimi? Sikumwambia akafanye umalaya. Nendeni mkafukie huko
Nyie mabwege nini.

Baada ya hapo palichimbika kwanza kabisa wale jamaa wakashuasha jeneza chini alafu wakamwambia huyu si amekufa kwa ukimwi wewe tunakuua sisi 😆😆😆😆😆 Mimi ilibidi nicheke sana wakati ananisimulia.

Wakaanza mbio walimkimbiza kutoka pale mochwari hadi maeneo ya clock tower pale nmb bahati nzuri akakuta kuna magari yamepark pale akajificha chini ya uvungu wa gari, pale kulikua na mdada ambaye wanasimamiaga ushuru wa parking.

Akamwambia kuna watu wananikimbiza wakija waambie ameenda.

Mara kidogo jamaa Hawa hapa wakamuuliza yule dada akawajibu ameelekea upande ule. Wakaangaza angaza hawakumuona ikabidi warudi. Akawa anasawasikia wanaosema tule mjinga ana MUNGU ilikua afe Leo yaani mama yetu kafa kwa ukimwi, pumbavu kabisa.

Baada ya hali kua shwari jamaa akatoka akaanza safari yake,

kila nikikumbuka huaga nacheka sana, maana jamaa alivyoniona tu alicheka vibaya mno alafu akanimbia jamaa yangu Leo ilikua nife usingiona nikiwa hai tena nikamuuliza kwanini ndo akanipa huo mkasa.

Mi naona hapo kila mtu alikua ana kosa, wenye msiba walizingua jamaa yangu naye akaja akazingua zaidi.

Muwe na siku njema
Kule Tabora (Kigwa) nilikuwa na kautani na mtoto wa pale kijijini kwetu ambae alikuwa anaishi njiani kuelekea shuleni kwetu na ni njia niliyokuwa napita kila siku kwenda shule. Kwa kweli alikuwa mzuri Iła tu alikuwa mtoto, so nikawa nakatania mbele ya wazazi wake kuwa akikua nitamuoa. Nilipomaliza shule, nilifanikiwa kufaulu na kwenda O level Pwani. Nikafaulu tena na kwenda A level Arusha. Huku nyuma si kale katoto kakakuwa bwana, na kwa mila ya kwetu katoto kama kale kakivunja ungo tu kanachumbiwa fasta. Nasikia watu kibao walijitokeza kwenda kumchumbia,, kalikataa na wazazi wake pia walikataa wakisema mumewe yupo masomoni Dar ila nilikuwa Arusha. Wazazi waliponiambia hivyo nilishangaa sana na kumuhurumia yule msichana. Ilinichukua muda sana kupata ujasiri wa kuwaleza wazazi wake ukweli ila mwisho wa siku nililipa ng'ombe 15 kama fidia kwao kwa kutomuoa mtoto wao. Nimekoma na utani wa kitoto.
 
Mimi binafsi kusema ukweli sinaga utani. Siwezi kabisa kumfanyia mtu mdhaha au utani katika mazingira yeyote yale na nimejenga mazingira hayo ikitokea mtu hanielewi vizuri anifanyie utani sehemu yeyote lazima nimkemee kiukali sana ili asirudie.
Nikikuta watu wazima wanataniana taniana huwa siwaelewi kabisa wengine unakuta watu wazima kabisa wanatanianatania mara wanarushianarushiana ngumi na kukimbizana kama watoto eti ni utani.
Utani ni kwa watoto mtu mzima kutaniana au kucheza na watoto sawa ila sio watu wazima kabisa miminaona kama utahaira i am out of that aisee.
Kuna msiba nilihudhuria nikaona watu wanafanya vituko vya ajabuajabu kuuliza nikaambiwa eti ni watani nilishangaa sana na sikufurahishwa kabisa na kitendo kile
 
Kaka uwo co utani kwanza!! Utan ni mzee unaokela huyo hajafanya utani bali uyo kaleta ulopokaji
 
Kule Tabora (Kigwa) nilikuwa na kautani na mtoto wa pale kijijini kwetu ambae alikuwa anaishi njiani kuelekea shuleni kwetu na ni njia niliyokuwa napita kila siku kwenda shule. Kwa kweli alikuwa mzuri Iła tu alikuwa mtoto, so nikawa nakatania mbele ya wazazi wake kuwa akikua nitamuoa. Nilipomaliza shule, nilifanikiwa kufaulu na kwenda O level Pwani. Nikafaulu tena na kwenda A level Arusha. Huku nyuma si kale katoto kakakuwa bwana, na kwa mila ya kwetu katoto kama kale kakivunja ungo tu kanachumbiwa fasta. Nasikia watu kibao walijitokeza kwenda kumchumbia,, kalikataa na wazazi wake pia walikataa wakisema mumewe yupo masomoni Dar ila nilikuwa Arusha. Wazazi waliponiambia hivyo nilishangaa sana na kumuhurumia yule msichana. Ilinichukua muda sana kupata ujasiri wa kuwaleza wazazi wake ukweli ila mwisho wa siku nililipa ng'ombe 15 kama fidia kwao kwa kutomuoa mtoto wao. Nimekoma na utani wa kitoto.
Pole sana mkuu
 
Kule Tabora (Kigwa) nilikuwa na kautani na mtoto wa pale kijijini kwetu ambae alikuwa anaishi njiani kuelekea shuleni kwetu na ni njia niliyokuwa napita kila siku kwenda shule. Kwa kweli alikuwa mzuri Iła tu alikuwa mtoto, so nikawa nakatania mbele ya wazazi wake kuwa akikua nitamuoa. Nilipomaliza shule, nilifanikiwa kufaulu na kwenda O level Pwani. Nikafaulu tena na kwenda A level Arusha. Huku nyuma si kale katoto kakakuwa bwana, na kwa mila ya kwetu katoto kama kale kakivunja ungo tu kanachumbiwa fasta. Nasikia watu kibao walijitokeza kwenda kumchumbia,, kalikataa na wazazi wake pia walikataa wakisema mumewe yupo masomoni Dar ila nilikuwa Arusha. Wazazi waliponiambia hivyo nilishangaa sana na kumuhurumia yule msichana. Ilinichukua muda sana kupata ujasiri wa kuwaleza wazazi wake ukweli ila mwisho wa siku nililipa ng'ombe 15 kama fidia kwao kwa kutomuoa mtoto wao. Nimekoma na utani wa kitoto.
😂Pole sana Mkuu. Sisi wengine wenye tabia ya kuahidi mademu ndoa tutalipa ng'ombe ngapi sijui
 
😂Pole sana Mkuu. Sisi wengine wenye tabia ya kuahidi mademu ndoa tutalipa ng'ombe ngapi sijui
Ushauri tu, mkuu usipende kudanganya mtoto wa mwenzako kuwa unataka kumuoa ikiwa lengo lako ni kumchezea tu, Mungu kawapa wanawake nguvu za hajabu sana, akikushitaki tu utalaanika na mambo yako kuvurugika. Nilijuta kutania!
 
Kule Tabora (Kigwa) nilikuwa na kautani na mtoto wa pale kijijini kwetu ambae alikuwa anaishi njiani kuelekea shuleni kwetu na ni njia niliyokuwa napita kila siku kwenda shule. Kwa kweli alikuwa mzuri Iła tu alikuwa mtoto, so nikawa nakatania mbele ya wazazi wake kuwa akikua nitamuoa. Nilipomaliza shule, nilifanikiwa kufaulu na kwenda O level Pwani. Nikafaulu tena na kwenda A level Arusha. Huku nyuma si kale katoto kakakuwa bwana, na kwa mila ya kwetu katoto kama kale kakivunja ungo tu kanachumbiwa fasta. Nasikia watu kibao walijitokeza kwenda kumchumbia,, kalikataa na wazazi wake pia walikataa wakisema mumewe yupo masomoni Dar ila nilikuwa Arusha. Wazazi waliponiambia hivyo nilishangaa sana na kumuhurumia yule msichana. Ilinichukua muda sana kupata ujasiri wa kuwaleza wazazi wake ukweli ila mwisho wa siku nililipa ng'ombe 15 kama fidia kwao kwa kutomuoa mtoto wao. Nimekoma na utani wa kitoto.
Mmh hii ngumu kumeza, sasa ingekuwaje kama ka binti kangekuwa mcharuko kakapata ujauzito kwingine na wewe ungefidiwa chochote??
 
Back
Top Bottom