Utapeli chuo cha anga Tabata

Airun

New Member
Joined
Feb 10, 2013
Posts
2
Reaction score
1
Jamani kuna chuo kinaitwa TANZANIA AVIATION UNIVERSITY COLLEGE kipo Tabata mnakizungumziaje? Vigogo na baadhi ya binadamu wasiokuwa na huruma wanakula pesa za bure za watanzania wanaotafuta pesa kwa shida bila huruma yeyote, wanafanya utapeli tu mjini. Jamani watanzania tufunguke.

Je Tanzania kuna chuo kikuu cha anga?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…