Sawa kabisa Lizzy, kinachonikera ni hiyo pesa wanayopokea kwa kila mtuma ujumbe ambapo wanajua hakika hawawezi kusoma ujumbe wote toka kwa wasikilizaji wao. Kwa nini wasiwatake wasikilizaji wapige simu kama ambavyo baadhi ya radio na television wanafanya?
Lizzy, hapa nionavo mimi ni uvunaji wa pesa kirahisi hivo!!!!!!!!