matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 7,968
- 19,368
Bwana Yesu akitoa mamlka kwa kila Muumini kushughulika na vijini/pepo.
Ni utapeli kuwageuza waumini watuhumiwa wa mapepo alafu eti kuna MTU mmoja star. Ndiye anayeyatoa.
Kwa Mujibu wa Yesu hii ni KAZI mdogo kuliko zote kanisani na inafanywa na muumini tu. Tena ilitakiwa watoanie mapemo huko majumbani ikifika kanisani Kyle mtume afundishe neno na awakumbushe waumini mamlaka yao.
Ujinga ni miongoni mwa dalili za kuja kwa Yesu.
Watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa
Ni utapeli kuwageuza waumini watuhumiwa wa mapepo alafu eti kuna MTU mmoja star. Ndiye anayeyatoa.
Kwa Mujibu wa Yesu hii ni KAZI mdogo kuliko zote kanisani na inafanywa na muumini tu. Tena ilitakiwa watoanie mapemo huko majumbani ikifika kanisani Kyle mtume afundishe neno na awakumbushe waumini mamlaka yao.
Ujinga ni miongoni mwa dalili za kuja kwa Yesu.
Watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa