Utapeli mwingine malipo ya wahanga Kipunguni; Serikal za mitaa wanalazimisha kila mwananchi akatwe Tsh. 216,000 kesi waliyokubaliana watu 300 miaka 15

Utapeli mwingine malipo ya wahanga Kipunguni; Serikal za mitaa wanalazimisha kila mwananchi akatwe Tsh. 216,000 kesi waliyokubaliana watu 300 miaka 15

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Habarini za uzima wana nchi

Baada ya kuwatetea kuwapigia kelele sana hapa wananchi wa kipunguni walipwe

Sasa serkl imeanza kulipa wananchxi wa kipunguni waondoke

Sasa siku moja kabla ya malipo serkl ya mitaa ikaitisha mkutano wa wananchi

Ktk mkutano huo wengi walijua mda na wakati wa kwenda kuchukua pesa zao

Ajabu masaa mawili yanaongelewa swala la wakili

Kuna wnananchi 300 miaka15 iliyopita walienda mahakaman kuomba serkl wafanye tathmini upya

Wakakubaliana na wakili wao kila mmoja alipe mil 1.8

Wakalipa mil 45 tu

Sasa wamesikia serikali inatoka helà wanalazimisha wananchi wote walipe 216"000

Huyu n utapeli uliokubuhu

Serikali na taa na wizara ya ardhi mnaombwa fwatilieni hili jambo na jumamosi wameitisha kikaoo kingine kushinikiza wana chi wakatwe 216"000

Jumla ya wananchi wanaopokea mgao n 1860 x 216"000

Huyu n utapeli wa hali ya juu

Kinachoafanyika wameambiwa kikaon waliokubaliana ndio wakalipe kama ubinadamu waacheni wananchi waamue wachangie ngapi sisos kuwapangia

Hawakuwepo kwenye makubaliano na wakili wenu

Hata hizo docs za.Makubaliano wakionbwa hawazitoi

Wananchi wengi wako radhi kuchangia 100"000 na sio

216,000 wanazolazimisha

Hii michezo michafuu inabidi serikali iwe makini sana inapolopa wahanga wa ardhi

Kuna awahini wachache wamekaa kusubiria kila malipo ya serikali yakifanywa waangalien wanawainiaje wananchi

Kifupi tu hiloo dili halitafanikiwa kama mpo mliohusika kutaka kuwapigia wananchi

Na hizi taarifa zimefika wizara ya ardhi .Ujenzi na taa

Dunia tamu sana

Ombi

Taa

Wasitokee watu wakalazimsiha makato ya 216"000 bila ridhaa yao

Kesi yao n ndefu na hamtaweza kuisogelea...Maana akinachoendelea wanataka kuiomba taa ikate pesa za wananchi moja kwa moja wapelekwe hao wahuni

All dbest
 
Ebu ndugu una hoja, na inaonekana una hasira, relux kwanza halafu uandke bila hasira.
Yataonekana tu
 
Back
Top Bottom