Tomaa Mireni
JF-Expert Member
- Sep 8, 2015
- 2,395
- 2,391
Wakati usajili wa vitambulisho vya taifa unakuja tuliambiwa ni mwiba kwa matapeli. Je wameisha? Hapana tena wapo sana tu.
Kuna visa kadhaa vya utapeli nimeshukudia kikiwemo juzi tu,dada katapeliwa mbele yangu.
Inashindikana nini kuwakamata hawa watu?
Nilijaribu kumsaidia yule dada nikapiga simu tigo kuripoti tatizo hilo na ikaonekana kashatoa ile hela.
Nikawaambia kwanini msifunge hiyo laini yake akija kurenew mumkamate? Wakadai sio kazi yao
Kama mtandao ukiamua ni rahisi sana kwanza
1.wanajua pesa imetolewa kwa wakala gani.
2. Mawasiliano ya mtu huyo na namba nyingine
3. Minara ambayo anatumia mara kwa mara.
4. Utambulisho wake upo kule,hata kama line imezimwa, kitambulisho kimesajili line zingine kwanin wasimtrack?
Ni kisa kimoja tu mteja wa voda alifungiwa akaunti yake ya mpesa akashindwa kutoa pesa sababu pesa iliingia kimakosa na kuitoa ile pesa 👏👏👏👏 Vodacom
Tukisema wanafugwa tutakosea?
Kuna visa kadhaa vya utapeli nimeshukudia kikiwemo juzi tu,dada katapeliwa mbele yangu.
Inashindikana nini kuwakamata hawa watu?
Nilijaribu kumsaidia yule dada nikapiga simu tigo kuripoti tatizo hilo na ikaonekana kashatoa ile hela.
Nikawaambia kwanini msifunge hiyo laini yake akija kurenew mumkamate? Wakadai sio kazi yao
Kama mtandao ukiamua ni rahisi sana kwanza
1.wanajua pesa imetolewa kwa wakala gani.
2. Mawasiliano ya mtu huyo na namba nyingine
3. Minara ambayo anatumia mara kwa mara.
4. Utambulisho wake upo kule,hata kama line imezimwa, kitambulisho kimesajili line zingine kwanin wasimtrack?
Ni kisa kimoja tu mteja wa voda alifungiwa akaunti yake ya mpesa akashindwa kutoa pesa sababu pesa iliingia kimakosa na kuitoa ile pesa 👏👏👏👏 Vodacom
Tukisema wanafugwa tutakosea?