Huyu jamaa ni mzembe.. maana utafanya vipi transactions haujapewa ela?....Sometimes tusiilahumu kampuni...
Naona hujaelewa mkuu au mi ndo sikueleza vizuri. Yaani jamaa (mteja) kampa wakala hela (hiyo cash laki sita) mkononi, huyo wakala akaiweka kwenye pochi/mkoba. Walipomalizana mteja akaondoka kama kawaida. Baada ya muda kidogo ndipo huyo wakala akagundua hizo laki sita hazimo kwenye mkoba. So ni kama zilikuwa za kiini macho hivi
siku nyingine akifanya biashara ya pesa ajaribu kuwa na safebox eeeh....
Sasa huu si utapeli wa Tigo pesa bali huyo ndugu yako kapambana tu na mjanja kamuingiza kingi mkuu!hii sio ishu ya kuilaumu Tigo kaka!
Naona hujaelewa mkuu au mi ndo sikueleza vizuri. Yaani jamaa (mteja) kampa wakala hela (hiyo cash laki sita) mkononi, huyo wakala akaiweka kwenye pochi/mkoba. Walipomalizana mteja akaondoka kama kawaida. Baada ya muda kidogo ndipo huyo wakala akagundua hizo laki sita hazimo kwenye mkoba. So ni kama zilikuwa za kiini macho hivi
kama ni hivo hapa issue sio tigo hapa issue ni CHUMA ULETE
Sasa hiyo kitu itaepukwaje mkuu? ushauri basi....
Bw mito (Balloteli) hapo kuna shaka nyingi sana hasa kwa huyo Bint Wakala wa tigopesa ni wengi tu tunawaona huku huwa wakilizwa wanakimbilia kuwa wametapeliwa. Nasema uongo kwanini 1. Huyo Msichana anazifahamu No. za huyo mteja kwani haruhusiwi mpaka jina la Mteja litokee ndipo amruhusu 2. Huyo Bint hizo No. anazifahamu za huyo Mteja ni kwamba am-Block na kuwaarifu Tigopesa ambapo hapo alipo wana namba za kituo chake na No. za huyo tapeli. Kwa hiyo hela huyo mwizi hatazitumia mpaka suluhu ipatikane. 3. balloteli km kibanda ni chako toa taarifa POLISI na kuwaarifu tigo huyo jamaa hatamaliza hatua 10 atarudi 4. Huyo mtoto ni tapeli wa kutupwa amejuwa wewe upo mbali sana na IT na hujui nakuhakikishia hakuna hela inayopotea. 5. Mbane huyo wakala akuelezea au mtishie unaenda POLISI atasema tu
Bw mito (Balloteli) wewe mwenyewe hujajieleza vizuri huenda huyo Wakala akataka msaada wa kifedha kwani No. ya huyo mteja si bado anayo kwanini asimpigie kumueleza yaliyomsibu? Mimi nilichosikitika ni hiyo heading kuwa "utapeli tigo sasa unatisha!" mimi ni mtumiaji wa tigo sioni kosa lao km huyo wakala hataki kusema ukweli natakupa link ya tigo uwaarifu kwa msaada zaidi Welcome to Facebook - Log In, Sign Up or Learn More hapo waeleze yote au ingia facebook na utafute Tigo Tanzania Huo ni msaada wa mwisho ambapo utajua nani ni mkweli Wakala au mwizi
Hayo mambo yapo, tena shukuru amechukua hiyo laki6 tu!
Ukichukua pesa ya mtu ambaye ni suspect jifanye umedondosha chini then ikanyage halaf ndy utie kwenye droo.
Sisi wapagani ndy tunafanya hivyo, na inasaidia sana, kama wewe unaimani tofauti endelea na imani yako itakusaidia pia.
NAONGEA KWA EXPERIENCE! KAMA HAUAMINI KAA KIMYA USUBIRI SIKU YAKUKUTE.
Hayo mambo yapo, tena shukuru amechukua hiyo laki6 tu!
Ukichukua pesa ya mtu ambaye ni suspect jifanye umedondosha chini then ikanyage halaf ndy utie kwenye droo.
Sisi wapagani ndy tunafanya hivyo, na inasaidia sana, kama wewe unaimani tofauti endelea na imani yako itakusaidia pia.
NAONGEA KWA EXPERIENCE! KAMA HAUAMINI KAA KIMYA USUBIRI SIKU YAKUKUTE.