Utapeli tigopesa sasa unatisha!


Ukwaju husomi vizuri nduguuuuu ah! Ukizipitia posti za mtoa mada kashasahihisha kuwa sawa sio tigo pesa bali ni mtoaji na mpokeaji. Mi nilivoisoma tu mada yake nikawa nshajua nini alichokusudia, lakini wewe ukawa unatoa ushauri nje kabisa ya maudhui. Huwezi kumshauri eti aende tigo kupeleka malalamiko, kwanza jiulize, hao tigo watakusaidia vipi? Wao watakuwa na ushahidi gani km ni chuma ulete? Wewe binafsi ushahidi wako upi? Hata kama namba ya mteja unayo, yeye si alikukabidhi hela na ukazitia katika pochi? Na ukikubali ivo basi uzembe wako, sifikiri kama hata alokupa pesa atakubali na yeye kama chuma ulete! Fikiria, laki sita izo unafikiri uyo alozipokea ataziweka tu kwenye account? Si atatuoa line kabisa tu baada ya kuzitoa? Tusome mada jamani tusirukie tu kwa kusoma kichwa cha habari pekee yake!!
 
Hiyo dua tu,mwambie awe mtu wa maombi hapo inaelekea ni balaa chuma ulete laki 6!....
 
Mkuu mito, BabaDesi haya mambo yapo, ukiongea na mtu yeyote aliyewahi kufanya biashara mikoa ya Mbeya, Iringa au Ruvuma atakueleza, wenyewe wanaita chitola. Kinachotokea ni kuwa jamaa anakuja kununua kitu chochote na pesa yoyote, ukichanganya pesa yake na pesa zako zinaondoka baada ya muda mfupi, wakati mwingine anaweza kuchukua kiasi kidogo ili usigundue. Mara nyingi inakuwa vigumu kumgundua,lakini wengi wao ni wajinga, akikuibia mara moja anakuona we mjinga baada ya siku kadhaa anarudi tena! Nyie wapagani wenzangu jaribuni kuwa mnaweka coin moja ya zamani kwenye droo, na unapohic mtu haaminikiaminiki kanyaga kama nilivyokuambieni; hakufanyi lolote!
 
Last edited by a moderator:
Chilubi nimekuelewa na km nimekosea MNISAMEHE kwani lengo langu ni kuuelewesha UMMA hii Tasnia ya Electronic Money ni tofauti na watu wanavyoelewa eti kwenda dukani kwa mtu na kununua chumvi halafu akakuzika. ni hivi:-
  1. Mteja alikwenda kwa wakala na 600,000/= na akawekewa fedha katika simu yake (lazima ataandikishwa hata akiitoa line jina lake lipo na mahali anapoishi papo ktk kitambulisho kinachorekodiwa ktk daftari maalum ya mteja)
  2. wakala alipomrushia yeye akabaki na hela cash 600,000/= (ghafla hazioni tena hela zenyewe, ni hivi km umemwandikisha kuna no. unapiga tigo pesa wanazichomoa zote kwa huyo mteja na wanakurudishia ww wakala ili mmalizane kwa njia yoyote / hata ukitoa line ndani ya dk 10 hela huwa inarudi)
  3. Sababu nilizozitoa huenda huyo Wakala alitaka mito (Balloteli) amsaidie kwa njia nyingine. ambapo inachotakiwa ni kuwaarifu tigo wazizuie hizo hela ili mwizi ajitokeze na watampigia simu ya sauti
  4. Mwisho tigo hatakataa kutoa ushauri kusafisha jina lao utapeli sasa tigo umezidi hata kwa kuwapigia na ndio maana mtoa mada kwenye thread ya 13 na 16 anasema jamaa alishaitoa ile hela hapo hata mm sina uwezo ila Tigo
 

Mkuu Ukwaju hapo kwa red panahusika. Yaani wakala alivyoenda kutoa taarifa tigo (anasema ilikuwa baada ya kama dk 10 hivi tangu jamaa aondoke) akakuja jamaa alishaenda kwa wakala mwingine na kuzitoa. So alikuwa amejipanga kumaliza dili lake within the shortest possible time. In other words, it was too late to block the money
 

Ok sasa nndo nimekuelewa. Kwa maana hyo inawezea kutokea iwe kwa tigo pesa,M-pesa etc. Nafikiri issue hapa ni utapeli na sio lazima kuihusisha na Tigo Pesa. Au sio?
 
Ok sasa nndo nimekuelewa. Kwa maana hyo inawezea kutokea iwe kwa tigo pesa,M-pesa etc. Nafikiri issue hapa ni utapeli na sio lazima kuihusisha na Tigo Pesa. Au sio?

Yes, inawezatokea hata kwa M-pesa, airtelmoney, zantel etc. Ni vema mawakala wakachukua tahadhali ya kutosha. Ndo maana nilikuwa naomba ushauri na experience za wengine. Nashukuru Amoeba ametoa ushauri na experience yake
 
Buy Nizoral (Ketoconazole) online no prescriptionTOP offers Nizoral:
Want Nizoral with DISCOUNT? BUY now in our Online Pharmacy Shop and save YOUR MONEY! Professional service, consultation. Discount system!ORDER Nizoral ONLINEOur Pharmacies is the most trusted online drug suppliers. You do not have to worry about the quality of our drugs, we want to assure you that we provide you with the best possible quality at affordable prices.******************Purchase Nizoral online. CHEAPEST Prices Guaranteed!No prior prescriptions needed! Customer support available 24/7! Very fast delivery all over the world! Many payment options: Visa, Amex, MasterCard, eCheck, Wire transfer etc.Related tags:ketoconazole powered by vbulletinketoconazole drug interactions with zoloftnizoral dosageatopica ketoconazolenizoral ointmentgeneric nizoralnizoral ringwormketoconazole side effects in catsketoconazole dosing for prostate cancerketoconazole topical in dogscomplications from nizoralketoconazole treatment for prostate cancerdoes nizoral cause birth defectsketoconazole for treating psoriasiswhere can i buy nizoral onlineketoconazole 2 cream nizoral creamketoconazole veterinariansnizoral for dogs with cushingsnizoral 2 shampoo for scalp acnenizoral cream for skinnizoral drug manufacturerketoconazole for animalsnizoral shampooketoconazole cream priceside effects of ketoconazole in dogsuses of ketoconazoleketoconazole lower testosteroneketoconazole cushings mechanismmalassezia ketoconazole dogbuy ketoconazole nizoralnizoral gave me back hairnizoral shampoo and hair losszyprexa nizoralketoconazole nizoralbuy ketoconazole nizoralnizoral 2 creamnizoral tinea versicolornizoral shampoo alopecianizoral shampoo ringwormketoconazole treatment and toddlersketoconazole canineis nizoral 200mg dangerousnizoral dandruff shampoo cvsnizoral cream without a prescriptionketoconazole toxicity in mammalsketoconazole creamketoconazole 2 cream nizoral creamsize of prescription nizoral shampooketoconazole 2 shampoo for salenizoral lotionketoconazole in vitro cytotoxicitynizoral everydayketoconazole used to treatnizoral ointment 2scalp and nizoral useketoconazole dogs side effectsnizoral safetypet rx ketoconazole 200 mg creamnizoral suspketoconazole itraconazole and fluconazole legal ups shipping order Mobic without prescription delivered overnight buying generic Depakote us online pharmacy order Uroxatral buy phentermine from canadian pharmacy Precose in US free consultation buying generic Pepcid delivered next day buy Plavix without prescription rx pharmacy no prescription rx Pamelor low price fraudulent canadian pharmacies purchase Sinequan without prescription prescription drugs side effects Diovan no prescription canadian association of pharmacy technician buy Neurontin online no prescription
 

Sasa utailaumu vipi tiGO pesa kwa kiini macho?

Kiini macho dawa yake ni Yesu.
 

Sasa hapo tiGO wanahusikaje?
 
Hamna kiini macho wala chuma ulete. Huyu jamaa alimuwekea mteja flot kwenye simu na akasahau kupokea cash, hii inatokea kila leo. Hata ukimpata huyu aliye wekewa hiyo hela utamwambia nini? kwamba hajakupa hela? customer care pia watakuuliza uliwezaje kuwekea mteja hela kabla ya kuipokea. In other words imekula kwako. Ndio gharama za kujifundisha kazi yeyote mpaka uweze kuitwa experienced unakuwa umepoteza sana. Sasa kuwa makini kwa utapeli huu:-

1. msg feki ambazo zitatumwa kwenye simu yako utoe hela. Hii zaidi kwenye mpesa.
2. mteja anatoa hela unampa baadaye anapiga customer care nakusema ametoa hela kwa makosa inarudishwa kwake.
3. Simu yako binafsi ina swapiwa bila wewe kujua alafu inatumika kutapeli mhudumu wako dukani kwamba atume hela mahala
4. matapeli wana swap till yako ya kazi ili wakupatie nyingine.wanajifanya kuwa wao ni wafanyakazi wa mtandao. Baadae unapata hela yako haipo kwenye simu.
5. mhudumu wako anakuwa na short saa ya kufunga kazi mfano laki sita. anasema hajui imekuwakuwaje. utafanya nini?
6. Kuna watu wanakuja ofisini kwako wanadai hawana simu kwa hiyo uwapatie namba uwasaidie kupokea hela. baada ya hela kutumwa na wewe kuwapa hela, wenzao waliotuma wanapiga customer care na kudai ilitumwa kimakosa. inarudishwa kwao na wewe hukuandikia muamala kwenye log book kwa kuwa hii transaction hairuhusiwi. inakula kwako.
7. Wanakuja majambazi na bunduki lao na kuchukuwa hela. Siku hizi hawaibi tena benki kwa kuwa kuna tubenki tupya twingi kila sehemu na hatupo makini.
 
Sasa huu si utapeli wa Tigo pesa bali huyo ndugu yako kapambana tu na mjanja kamuingiza kingi mkuu!hii sio ishu ya kuilaumu Tigo kaka!
Nashauri ubadili title yako na isomeke "Utapeli kiini macho sasa unatisha"
 
Acha uvivu wa kufikir,na kujiona muelevu ffagundos,sasa si ungefungua tu uzi wako wa tangazo lako la biashara kuliko kuleta huu ugomvi wako hapa.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…