Utapeli wa ‘hiyo pesa tuma kwenye namba hii’ umeshika kasi, nimegundua mbinu ya kuwazuia, napendekeza haya yafanyike kuwakomesha

Ilishawahi kuona ama kusikia Mtu kaiibia Taasisi au shirika kuànzia mkurugenzi mpk huku chini wakaamua kumchoma Mtu Moto? All in all Vijana waache Wizi, watafute Kazi au vibarua vya kuwaingizia vipato Halali..
 
Ilishawahi kuona ama kusikia Mtu kaiibia Taasisi au shirika kuànzia mkurugenzi mpk huku chini wakaamua kumchoma Mtu Moto? All in all Vijana waache Wizi, watafute Kazi au vibarua vya kuwaingizia vipato Halali..
Na wakurugenzi pia wachomwe moto kwa wizi.
 
mwingine huyo, ishini nae mimi nishamalizana nae hivo
 

Attachments

  • Screenshot_20241024-140701.png
    189.7 KB · Views: 4
 
Wazo zuri, labda niulize: Hiyo njia haiwezeshi watu kufanyiana ubaya, maana kwenye msafara wa mamba, kenge hawakosi?

Mfano watu wamekorofishana kihawara, halafu namba ya 'mbaya wake' anairipoti Tcra na kufungiwa, haliwezekani hilo?
 
Wazo zuri, labda niulize: Hiyo njia haiwezeshi watu kufanyiana ubaya, maana kwenye msafara wa mamba, kenge hawakosi?

Mfano watu wamekorofishana kihawara, halafu namba ya 'mbaya wake' anairipoti Tcra na kufungiwa, haliwezekani hilo?
Huwezi kuripoti namba ambayo si ngeni kwako (ipo kwenye contact, call logs na messages), pia huwezi kuireport namba ambayo haijakutumia meseji ya ‘hiyo pesa tuma kwenye namba hii’nk. Kufanya hivyo moja kwa moja wewe ndiye utakuwa mkosaji, na adhabu ya kiksheria itakuwa juu yako.
 
Nadhani uzembe wa huyo marehemu ni kushindwa kuangalia salio kuthibitisha.

Pia uzembe wa mtoa huduma ni kutuma salio bila kuangalia ballonce/cash toka kwa mteja.
 
Nadhani uzembe wa huyo marehemu ni kushindwa kuangalia salio kuthibitisha.

Pia uzembe wa mtoa huduma ni kutuma salio bila kuangalia ballonce/cash toka kwa mteja.
Nashindwa kuelewa, kama pesa ipo kwenye simu, kaenda kwa wakala kufanya nn?
 
Je, unafahamu kitu kinachoitwa Phone Spoofing?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…