Me too
JF-Expert Member
- Feb 9, 2015
- 7,388
- 9,333
Habarini wakuu sijui ndio hili jukwaa husika ama laa nyway moja kwa moja husika na heading yangu kiukweli dawa za nywele za sikuizi hazina ubora kabisa naomba mamlaka husika ijaribu kuzichunguza hizi dawa watumiazo wanawake kwaajili ya nyweli.
Yaani unaweka leo dawa alafu unakaa hata wiki mbili hazijakata tayari manywele yameshaotaa na kitana kinakuwa shida kupita kichwani kiukweli zipo tofauti na dawa za miaka ya nyuma ubora umepungua na bei inapanda kwa kasi baadhi ya dawa hizo mnazo tutapeli ili tujikute tunanunua mara 2 kwa mwezi badala ya kukaa hata miezi 3 ndio uset matokeo yake sivo dawa hizo ni
REVLON (kuanzia za box hadi za kawaida)
BEAUTFULL BEGIN (ya sasa) hii huwaga ni ya box tu
Na nyinginezo kiukweli mmenikera sana mnatuzurumu hela zetu huku mnatuuzia dawa hewa ni sawa na ununuapo dawa ya meno alafu ndani wamejaza upepo ukizani dawa ipo nyingi kumbe sivo mnaboa sanaaaaa na hizo bei zenu huku bidhaa haina ubora wala nini mmenikera sana ni bora tu mamlaka husika ifungie hizi dawa kuliko kutunyonya hela zetu alafu dawazenyewe hazina ubora.
Yaani unaweka leo dawa alafu unakaa hata wiki mbili hazijakata tayari manywele yameshaotaa na kitana kinakuwa shida kupita kichwani kiukweli zipo tofauti na dawa za miaka ya nyuma ubora umepungua na bei inapanda kwa kasi baadhi ya dawa hizo mnazo tutapeli ili tujikute tunanunua mara 2 kwa mwezi badala ya kukaa hata miezi 3 ndio uset matokeo yake sivo dawa hizo ni
REVLON (kuanzia za box hadi za kawaida)
BEAUTFULL BEGIN (ya sasa) hii huwaga ni ya box tu
Na nyinginezo kiukweli mmenikera sana mnatuzurumu hela zetu huku mnatuuzia dawa hewa ni sawa na ununuapo dawa ya meno alafu ndani wamejaza upepo ukizani dawa ipo nyingi kumbe sivo mnaboa sanaaaaa na hizo bei zenu huku bidhaa haina ubora wala nini mmenikera sana ni bora tu mamlaka husika ifungie hizi dawa kuliko kutunyonya hela zetu alafu dawazenyewe hazina ubora.