Freeland
JF-Expert Member
- Jan 24, 2012
- 14,481
- 10,227
Wadau;
Kuna mambo ambayo ukiya tafakari kwa makini unaona jinsi ambavyo klabu pendwa ya Yanga ambavyo inaongozwa na mwenyekiti tapeli.
Utapeli huu umeenda mbali hadi kujiongezea muda wa kukaa madarakani
Utapeli huu umeenda mbali hadi kutaka kuwabambikizia kesi watu wanaohoji mambo kwenye klabu
Manji amedhihirisha kuwa ni tapeli namba moja baada ya kuwafanya mashabiki na viongozi wote wa Yanga Mandondocha.
Wamewekwa mfukoni na wote wanaitikia NDIO MZEE....
Hata wazee wenye Umri kama wa mzee akilimali wanamwita "Tapeli" huyu Mzee.
Kuonesha Undondocha wa mashabii wa Yanga ..walidanganywa kujengewa uwanja maridadi katikati ya Mto Jangwani unaotiririsha maji yake kwenye bahari ya Hindi.
Mandondocha wa Yanga walitapeliwa wakatapelika...sasa amebakisha miezi miwili anawaambia haiwezekani.
Soma habari hapo Chini. Source; Mwanaspoti 22 jan 2015
YANGA imepanga kujenga uwanja wa kisasa wa mazoezi utakaoingiza watu 6,000 tu, lakini sasa inafanya mazoezi Uwanja wa Tanganyika Packers uliopo Kawe, Dar es Salaam wenye vumbi na mabonde ili ikafanye vizuri dhidi ya Polisi Moro kwenye Uwanja wa Jamhuri, Morogoro wenye hali kama hiyo.
Kocha wa Yanga, Hans Van Der Pluijm, alilazimika kuhamishia mazoezi yake kwenye uwanja huo kutoka Boko Veterani ili wachezaji wazoee mazingira magumu kabla ya kuivaa Polisi Moro keshokuwa Jumamosi.
Pluijm alisema; "Tunakwenda kucheza na Polisi siyo mechi rahisi kwetu, tunaenda kukutana na mazingira mapya na kama inavyojulikana, uwanja tutakaochezea (Jamhuri) siyo mzuri, hivyo ndiyo maana tunafanya mazoezi hapa ili tupate matokeo mazuri."
Azam ina viwanja vitatu katika eneo lake la Chamazi ambavyo ni ule wa nyasi bandia, nyasi za kawaida na mwingine chakavu wenye nyasi kuukuu na mabonde. Timu hiyo hufanya mazoezi hayo katika uwanja wowote kulingana na uwanja watakaochezea mechi zao.
Wakati huohuo, Katibu wa Yanga, Jonas Tibohora, amekiri kuwa mchakato wa ujenzi wa uwanja mkubwa makao makuu ya klabu hiyo umeshindikana hivyo wamepanga kujenga uwanja huo mdogo wa mazoezi.
cc Makoye Matale Bantu lady mkolaj grafani11 sembo Deo Corleone The bos Amavubi Mdakuzi Pdidy Chakaza barafuyamoto nifah
Kuna mambo ambayo ukiya tafakari kwa makini unaona jinsi ambavyo klabu pendwa ya Yanga ambavyo inaongozwa na mwenyekiti tapeli.
Utapeli huu umeenda mbali hadi kujiongezea muda wa kukaa madarakani
Utapeli huu umeenda mbali hadi kutaka kuwabambikizia kesi watu wanaohoji mambo kwenye klabu
Manji amedhihirisha kuwa ni tapeli namba moja baada ya kuwafanya mashabiki na viongozi wote wa Yanga Mandondocha.
Wamewekwa mfukoni na wote wanaitikia NDIO MZEE....
Hata wazee wenye Umri kama wa mzee akilimali wanamwita "Tapeli" huyu Mzee.
Kuonesha Undondocha wa mashabii wa Yanga ..walidanganywa kujengewa uwanja maridadi katikati ya Mto Jangwani unaotiririsha maji yake kwenye bahari ya Hindi.
Mandondocha wa Yanga walitapeliwa wakatapelika...sasa amebakisha miezi miwili anawaambia haiwezekani.
Soma habari hapo Chini. Source; Mwanaspoti 22 jan 2015
YANGA imepanga kujenga uwanja wa kisasa wa mazoezi utakaoingiza watu 6,000 tu, lakini sasa inafanya mazoezi Uwanja wa Tanganyika Packers uliopo Kawe, Dar es Salaam wenye vumbi na mabonde ili ikafanye vizuri dhidi ya Polisi Moro kwenye Uwanja wa Jamhuri, Morogoro wenye hali kama hiyo.
Kocha wa Yanga, Hans Van Der Pluijm, alilazimika kuhamishia mazoezi yake kwenye uwanja huo kutoka Boko Veterani ili wachezaji wazoee mazingira magumu kabla ya kuivaa Polisi Moro keshokuwa Jumamosi.
Pluijm alisema; "Tunakwenda kucheza na Polisi siyo mechi rahisi kwetu, tunaenda kukutana na mazingira mapya na kama inavyojulikana, uwanja tutakaochezea (Jamhuri) siyo mzuri, hivyo ndiyo maana tunafanya mazoezi hapa ili tupate matokeo mazuri."
Azam ina viwanja vitatu katika eneo lake la Chamazi ambavyo ni ule wa nyasi bandia, nyasi za kawaida na mwingine chakavu wenye nyasi kuukuu na mabonde. Timu hiyo hufanya mazoezi hayo katika uwanja wowote kulingana na uwanja watakaochezea mechi zao.
Wakati huohuo, Katibu wa Yanga, Jonas Tibohora, amekiri kuwa mchakato wa ujenzi wa uwanja mkubwa makao makuu ya klabu hiyo umeshindikana hivyo wamepanga kujenga uwanja huo mdogo wa mazoezi.
cc Makoye Matale Bantu lady mkolaj grafani11 sembo Deo Corleone The bos Amavubi Mdakuzi Pdidy Chakaza barafuyamoto nifah