Utapeli wa vyakula kwa wasafiri

Utapeli wa vyakula kwa wasafiri

pilau

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2012
Posts
1,595
Reaction score
451
Pesa ilivyokuwa ngumu.

Nilisafiri kutoka Dar kuja Musoma, njiani kwenye vituo vta miji mbalimbali wauzaji wa vyakula wamekuwa sio waaminifu kabisa.

Dodoma nauziwa kuku wanasema ni wa kienyeji kumbe ni kuku wa mayai aliyekomaa na kushindikana. Inapokuwa safarini usinunue kuku.

Maeneo mengine unauziwa vyakula kwa bei ya dhambi maandazi yaliyochoka kwa kuchanganya na ya juzi yake kwa bei ya shilingi 1000 na hapo unaambiwa kila kitu cha kutafunwa Bei iko juu ukipata bahati utaona na kama ukitembe na buku. Yaani chai buku, andazi buku, kitumbua buku, chips kavu 3000.

Utapeli huu unazidi kuenea tuwe màkini tunapokuwa safari.
 
Tatizo ni madereva na makondakta wenye ma bus ndiyo wanatuuingiza huko kisa wao wanakula fresh meals tena bure kabisa! Kuna siku nilijichanganya na madereva wa ma bus nami nikapewa Msosi fresh! Abiria pls tukataeeni huu ukiritimbaa nawaoomba!!
 
Pesa ilivyokuwa ngumu....
Nilisafiri kutoka dar Kuja Musoma.. njiani kwenye vituo vta miji mbalimbali wauzaji wa vyakula wamekuwa sio waaminifu kabisa...
Dodoma nauziwa kuku wanasema ni wa kienyeji kumbe ni kuku wa mayai aliyekomaa na kushindikana...... Inapokuwa safarini usinunue kuku.....
Maeneo mengine unauziwa vyakula kwa bei ya dhambi ... maandazi yaliyochoka kwa kuchanganya na ya juzi yake kwa bei ya shilingi 1000 na hapo unaambiwa kila kitu Cha kutafunwa Bei iko juu ukipata bahati utaona na Kama ukitembeabuku... Yaani chai buku, andazibuku, kitumbua buku, chips kavu 3000 ... Utapeli huu unazidi kuenea tuwe màkini tunapokuwa safari
Ngojanitasafir kesho kutw walai natoka singida kwenda dar ctaguza chakula Cha mtu manina zao
 
Pesa ilivyokuwa ngumu....
Nilisafiri kutoka dar Kuja Musoma.. njiani kwenye vituo vta miji mbalimbali wauzaji wa vyakula wamekuwa sio waaminifu kabisa...
Dodoma nauziwa kuku wanasema ni wa kienyeji kumbe ni kuku wa mayai aliyekomaa na kushindikana...... Inapokuwa safarini usinunue kuku.....
Maeneo mengine unauziwa vyakula kwa bei ya dhambi ... maandazi yaliyochoka kwa kuchanganya na ya juzi yake kwa bei ya shilingi 1000 na hapo unaambiwa kila kitu Cha kutafunwa Bei iko juu ukipata bahati utaona na Kama ukitembeabuku... Yaani chai buku, andazibuku, kitumbua buku, chips kavu 3000 ... Utapeli huu unazidi kuenea tuwe màkini tunapokuwa safari
Nakumbuka Dodoma waliniuzia Viazi vya moto lakini havikuchomwa vizuri kumbe vilichemshwa na kuchovywa kwenye mafuta, nilichukua sahani mbili kwa ajili ya mlo wa safarini (mchana), hatimaye nilivirusha dirishani! [emoji3064][emoji3064][emoji3064]
 
Ngojanitasafir kesho kutw walai natoka singida kwenda dar ctaguza chakula Cha mtu manina zao
Toka Sgd we choma kuku kienyeji pale hata nusu tu na viepe kavu au ndizi. Ukifika Bahi tafuna shusha maji bongo hii hapa.
Huonane na mtu
 
Tatizo ni madereva na makondakta wenye ma bus ndiyo wanatuuingiza huko kisa wao wanakula fresh meals tena bure kabisa! Kuna siku nilijichanganya na madereva wa ma bus nami nikapewa Msosi fresh! Abiria pls tukataeeni huu ukiritimbaa nawaoomba!!
Lakini ni halali kutokana hadhi ya hotel yenyew anayowapeleka dereva mfano Cate hotel morogoro kuna gharama nyingi wewe mwenyewe utaona kwanz vyoo visafi muda wote

Kuna hotel ka pale msamvu pale vyoo utazani wanafunzi wa primary
 
Kwanza... Kuna ambayo umeeleza kweli ni utapeli mfano kuuziwa kuku wa kisasa ukaambiwa wa kienyeji, kuuziwa vyakula vibovu ukidanganganywa vya moto moto nk

Pili... kuna ambayo umeelezea wakati hayaingii kwenye utapeli. Mfano kuambiwa kila kitu buku haijalishi ni nini; ukinunua hapo hatuwezi kusema umetapeliwa mzee

Tatu... Mimi nitajikita kwenye hiyo ya pili japo ni nje ya mada kidogo.
Upo Kilwa road umepanda zako gari (basi) njiani unakuta vyakula vizuri balaa lakini muda na nafasi ya kununua/kula hupati yaani hupewi nafasi. Matokeo yake gari inapelekwa moja kwa moja Nangurukuru eti mkale (tena dakika zimezidi kuwa nyingi ni 10).

Ukishuka sasa unakuta
1.vinywaji bei ni moja vyote buku buku (ambavyo wewe umezoea bei ni jero),

2. ndizi 3 buku, (wewe umezoea mia mbili kwa moja au miamia)

3. samaki wawili elfu 5, (wakati mgahawa wa pale center zinapopaki costa samaki na wali wake buku)

4.machungwa matatu au manne buku( mtaani miamia tu)

5.na kadhalika nk

Tafsiri yake nini
-unalazimishwa kula kwa staili ambayo mwenyewe hukuwa tayari (gharama)

-unatumika kama njia ya kumuingizia (sifa na kipato) dereva na tajiri yake huku wewe hata hamsini hujapunguziwa kwenye nauli

-unaumizwa na njaa bure hasa wale ambao hawawezi kununua dirishani au wakati gari ipo gia. Anasubiri gari isimame ndipo aweze kula wakati gari ina kituo kimoja tu

-umepelekwa sehemu ambapo hakuna ruksa ya mgahawa mwingine kuwepo karibu, ok fine lakini tena unabalansiwa muda mdogo sana kuhakikisha kiasi kwamba hutaweza kuchomoka kwenda kununua msosi kule kati
 
Back
Top Bottom