mshikachuma
JF-Expert Member
- Dec 2, 2010
- 2,853
- 627
Mathalani Jaji wa mahakama amekuhukumu kunyongwa hadi kufa (kutokana na kesi fulani).
Lakini kifo chako unaambiwa uchague kati ya hivi 5.....je,utachagua kipi?
1.kufungwa jiwe la kilo 50 shingoni na kukudidimiza baharini hadi ufe
2.Kukuchoma na moto ukiwa mzima kama wahindi(kuni juu wewe chini) hadi ufe
3.Kukufungia kwenye chumba chenye nyoka wakali(kama 100 hivi) walio na sumu kali hadi ufe
4.Kukufungia kwenye banda lenye simba 10 ambao hawajala wiki moja....hadi ufe
5.Au kukuchinja kwa kutenganisha kiwiliwili bila ganzi huku mikono na miguu vikiwa vimefungwa kamba....hadi ufe
Je, utachagua kifo gani kati ya hivi?
Lakini kifo chako unaambiwa uchague kati ya hivi 5.....je,utachagua kipi?
1.kufungwa jiwe la kilo 50 shingoni na kukudidimiza baharini hadi ufe
2.Kukuchoma na moto ukiwa mzima kama wahindi(kuni juu wewe chini) hadi ufe
3.Kukufungia kwenye chumba chenye nyoka wakali(kama 100 hivi) walio na sumu kali hadi ufe
4.Kukufungia kwenye banda lenye simba 10 ambao hawajala wiki moja....hadi ufe
5.Au kukuchinja kwa kutenganisha kiwiliwili bila ganzi huku mikono na miguu vikiwa vimefungwa kamba....hadi ufe
Je, utachagua kifo gani kati ya hivi?