Unapaswa kufika bodin hapo msasan na kuingia chumba namba 24 utaambiwa tatizo lakn utaambiwa inabd uende payment department( no.B1) atakupatia peyment sleep kama utakua haujawai kuchukua na ku2mia mkopo utaandikiwa NIL lakn endapo ulpokea na kutumia mkopo utalpa 25% kama waelezavo, na kama uliomba mkopo ukaandikiwa nil au ulipewa kama ulitumwa chuon kwako na haukurudshwa bhaaas na wewe unaucka kulpa 25% kama kawaida, baada ya kupata payment sleep kama unahucka kulipa utalpa na baada ya hapo utaenda chumba no.28 nakuverify kwa wale ambao hawadaiw bac na vlevle kwenye chumba no.28 baada ya hapo n safar moja kwenda kwenye kampac na kuzsubr. kama utakua na maswal zaid ulza utajibiwa. Japo m c ofcer wa bod