Utaratibu huu wa kuondoa taka mara mbili tu kwa mwezi sio mzuri

Utaratibu huu wa kuondoa taka mara mbili tu kwa mwezi sio mzuri

BOB LUSE

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2014
Posts
3,738
Reaction score
3,199
Tumeletewa Mkandarasi wa kuzoa takataka na uongozi wa Serikali ya Eneo letu, takataka zinachukuliwa baada ya wiki mbili. Naomba watu wanaohisika na Afya na Mazingira waingilie swala Hili na kuzuia huu wizi na kuepuka kurundika takataka kwa mda mrefu kama huko!

Watu wakishatoa rushwa na kupokea zinawapofua macho. Huyu Makandarasi usajiri wake uangaliwe Naona hata Kazi yake haipendi. Wenyeviti na Wajumbe wanaoingia mikataba ya namna hii wachunguzwe na kuchukuliwa hatua.

IMG-20210803-WA0002.jpg
 
Poleni, hiyo mitaa yenu lazima inuke uvundo. Hapa nilipo taka zinazolewa mara 2 kwa wiki lakini ikitokea gari likaharibika hata wiki moja tu mtaani hakutamaniki
 
Back
Top Bottom