Utaratibu huu wizara ya afya umeanza lini?

Utaratibu huu wizara ya afya umeanza lini?

Luraja

Member
Joined
Oct 15, 2012
Posts
27
Reaction score
4
Ukitaka kujiunga na vyuo vya wizara ya lazima ulipie shilingi 15,000/= ambazo hazirudishwi hata kama hautachaguliwa Naishangaa serikali yangu ya ccm ni kwa nini haina utaratibu unaofanana katika wizara zake.Kwa mfano wizara ya elimu wao unatuma maombi bila kulipia pesa.Nachelea kusema kuwa huu ni mradi wa wakubwa pale wizara ya afya. Kwa mwendo huu nchi yetu haiwezi kufikia malengo ya milenia ifikapo 2025.
 
Ukitaka kujiunga na vyuo vya wizara ya lazima ulipie shilingi 15,000/= ambazo hazirudishwi hata kama hautachaguliwa Naishangaa serikali yangu ya ccm ni kwa nini haina utaratibu unaofanana katika wizara zake.Kwa mfano wizara ya elimu wao unatuma maombi bila kulipia pesa.Nachelea kusema kuwa huu ni mradi wa wakubwa pale wizara ya afya. Kwa mwendo huu nchi yetu haiwezi kufikia malengo ya milenia ifikapo 2025.

MDGs are expected to end in 2015! Post MDG discussions (initiative by UN General Secretary) are currently underway in many countries in the world.
 
watanzania tusiendekeze kulaumu, unalaumu application fees ya 15000 tena wanakuandikia kabisa haitarudishwa sasa unalalmika nini mbona vyuo vingine vilivyopo chini ya wizara ya science na technolojia ni 20000.
 
Ukitaka kujiunga na vyuo vya wizara ya lazima ulipie shilingi 15,000/= ambazo hazirudishwi hata kama hautachaguliwa Naishangaa serikali yangu ya ccm ni kwa nini haina utaratibu unaofanana katika wizara zake.Kwa mfano wizara ya elimu wao unatuma maombi bila kulipia pesa.Nachelea kusema kuwa huu ni mradi wa wakubwa pale wizara ya afya. Kwa mwendo huu nchi yetu haiwezi kufikia malengo ya milenia ifikapo 2025.
Utaratibu ukiwa hivyo kuna haja gani ya kuwa na wizara mbili tena?
Na ndo maana kuna tofauti unazoona mkuu!
 
Back
Top Bottom