Utaratibu mbovu wa shirika letu la reli (TRC), wataka abiria kuandika barua ili kurudishiwa nauli

Utaratibu mbovu wa shirika letu la reli (TRC), wataka abiria kuandika barua ili kurudishiwa nauli

😂😂😂😂 hii ya kuandika barua imeniacha hoi jamani loooh!
KAZI IMEANZA!NILITOA ANGALIZO HUMU KIPINDI WAMEANZA HII HUDUMA KUWA TATIZO LETU WATANZANIA AU WATENDAJI WA KITANZANIA NI LILELILE - UZEMBE UZEMBE UZEMBE!WATAUA HILI SHIRIKA MUDA SI MREFU!KWELI TRUMP ALIKUA SAHIHI KUTUITA LILE JINA WATU WEUSI!!INAKERA SANA
 
Point ni zile zile tu wanangu🙂 Bad leadership, Lack of government support, Poor infrastructure, Corruption, Poverty halafu tunamalizia na Land alienation kwa kubahatisha tu kama nayo inaingia kwenye essay yetu.
 
Point ni zile zile tu wanangu🙂 Bad leadership, Lack of government support, Poor infrastructure, Corruption, Poverty halafu tunamalizia na Land alienation kwa kubahatisha tu kama nayo inaingia kwenye essay yetu.
Tuwapeni muda,mimi nimewapa Xmas 3 😄

Ova
 
Kuna muda unaamua kukubali tu mtu mweusi kuitwa nyani, Sasa huu mradi ulivyotumia pesa nyingi halafu kuna watu wala hawalioni hilo wapo tu ofisini na waliwapa haya mamlaka wapo tu, Ssa unalaumu nini baadhi ya watu wakiitwa Nyani? Inawezakana labda sisi hatujavuka zile stage za ukuaji wa binadamu na ukichukulia mtu wa kwanza aligunduliwa huko Olduvai nchini Tanzania mradi uliko.
 
Wale wakula Hela Kwa kijidai watetezi wa wasafiri(wateja) hutawaona huku Wala number zao hazipo kwenye Kuta za mabehewa.
 
Kutetea ngozi nyeusi inataka uwe na sura ya kauzu sana ....Ukileta mtu mweupe hapo awe DG basi unaona mambo yanaenda sawa.
 
Mungu inusuru SGR isife kaaah jamani this is too much
 
Back
Top Bottom