Kuna muda unaamua kukubali tu mtu mweusi kuitwa nyani, Sasa huu mradi ulivyotumia pesa nyingi halafu kuna watu wala hawalioni hilo wapo tu ofisini na waliwapa haya mamlaka wapo tu, Ssa unalaumu nini baadhi ya watu wakiitwa Nyani? Inawezakana labda sisi hatujavuka zile stage za ukuaji wa binadamu na ukichukulia mtu wa kwanza aligunduliwa huko Olduvai nchini Tanzania mradi uliko.