Unatakiwa uzime na kuwasha, ni sawa na manual tu ukiwa gear ya 5 unarudi 4 au 3 unachochea mzunguko kisha ukipanda mpaka 5 gari inachangamka fasta unaona kama ulikuwa 100 inaenda 120...130+ unamkata mtu fasta.Mkuu labda mimi niseme hivi.
1. Gari ikiwa kwenye Overdrive off inachanganya faster sana kuliko ikiwa on. Shida tu muungurumo wa engine utakuwa juu na kama gari ina gear 4 maana yake utaishia kwenye gear namba tatu.
2. Kwa maana hiyo kama unamuovertake mtu aliye kwenye low speed utamuovertake faster overdrive ikiwa Off kuliko ikiwa On. Ila mtu akiwa speed 100kph hutomuovertake ikiwa umeweka Overdrive Off.
Shukrani. Umeniongezea kitu.Unatakiwa uzime na kuwasha, ni sawa na manual tu ukiwa gear ya 5 unarudi 4 au 3 unachochea mzunguko kisha ukipanda mpaka 5 gari inachangamka fasta unaona kama ulikuwa 100 inaenda 120...130+ unamkata mtu fasta.
Umefafanua vizuri sana mkuu.Gari nyingi za automatic huwa zina gia 4 ukiacha ya reverse, O/D ikiwa off maana yake gari haitafikia ile top gear, yaani itajibadilisha hadi gia ya 3 tu basi haitazidi hapo.
Mara nyingi uatumia hii ikiwa unapandisha kamlima au unashuka hasa ukiwa unashuka ili gari isiwe na kasi kubwa na pengine ika over rev, yaani ikiwa inashuka unawesa kuta rpm zinakwemda hadi 5k na kama dereva haelewi anaweza sababisha matatizo kwa engine.
Vivyo hivyo L itaishia gia 1, 2 itaishia gia ya 2 na 3 itaishia ya 3 kama gari yako ina option hiyo, na hizo gear ni kubwa maana yake zina nguvu zaidi na zinakula mafuta pia, uyaona hata ukiziweka mshale wa rpm unaenda juu zaidi ya 3k kama unakanyaga mafuta sana, hivyo zitumie kama kwenye matope au mchanga na pengine kuvuta gari, ila kwa ujumla tumia kwa tahadhari na kwa kuelewa.
Matumizi ya gear hizi L na 2 hasa 2 pia ni kwenye overtaking, unapotaka kumpita mtu ukiwa kwenye D ni risk sababu unaweza kuwa gear ya juu mfano 3 au 4 halafu ukachukua muda kumpita, kumbuka unaempita pia hajasimama na anaenda, sasa ukishusha gear lever kwenye 2 gari itaongeza nguvu na kasi halafu ukishampita unarudisha kwenye D maisha yanaendelea.
I hope nitakua nimesaidia kufafanua.
Kwa namna nilivyoelewa ni kwamba L, 2 & 3 inaumika ktk activities ambazo gari litahitajika kutumia nguvu kubwa zaidi ya kawaida, wakati OD ni kuifanya gari ifikie maximum gear bila limit.Gari nyingi za automatic huwa zina gia 4 ukiacha ya reverse, O/D ikiwa off maana yake gari haitafikia ile top gear, yaani itajibadilisha hadi gia ya 3 tu basi haitazidi hapo.
Mara nyingi uatumia hii ikiwa unapandisha kamlima au unashuka hasa ukiwa unashuka ili gari isiwe na kasi kubwa na pengine ika over rev, yaani ikiwa inashuka unawesa kuta rpm zinakwemda hadi 5k na kama dereva haelewi anaweza sababisha matatizo kwa engine.
Vivyo hivyo L itaishia gia 1, 2 itaishia gia ya 2 na 3 itaishia ya 3 kama gari yako ina option hiyo, na hizo gear ni kubwa maana yake zina nguvu zaidi na zinakula mafuta pia, uyaona hata ukiziweka mshale wa rpm unaenda juu zaidi ya 3k kama unakanyaga mafuta sana, hivyo zitumie kama kwenye matope au mchanga na pengine kuvuta gari, ila kwa ujumla tumia kwa tahadhari na kwa kuelewa.
Matumizi ya gear hizi L na 2 hasa 2 pia ni kwenye overtaking, unapotaka kumpita mtu ukiwa kwenye D ni risk sababu unaweza kuwa gear ya juu mfano 3 au 4 halafu ukachukua muda kumpita, kumbuka unaempita pia hajasimama na anaenda, sasa ukishusha gear lever kwenye 2 gari itaongeza nguvu na kasi halafu ukishampita unarudisha kwenye D maisha yanaendelea.
I hope nitakua nimesaidia kufafanua.
Kubali kupata maarifa mapya mkuu.naona sasa unabisha tu ili ushinde..OD gear ipo kwenye mpangilia wa gear wa kawaida na ina gear ratio yake sema ipo below 1,kama alivysema jamaa hapo juu.Sasa wewe unasema in act like,how?Nimekwambia its like gear ya 5 though gari ina gears 4 so yenyewe ina "act" kama gear namba 5
Hujaeleweka bado! Space inayofaa ndiyo space gani?Shida nlionayo ni kuwa sijaweza kuweka gari kwenye space inayofaa nikiwa kwa jam, nishakosa kugonga kwa nyuma dinga za watu. Hehe. Hii inakuaje?
Ile distance between two cars on a highwayHujaeleweka bado! Space inayofaa ndiyo space gani?
Sent from my SM-J105H using JamiiForums mobile app
Kuita overdrive extra gear, sijajua walitaka kumaanisha nini. Ila over drive ni gear ratio kama gear ratios nyingine tu..Endelea kukataa wakati waliotengeneza ndo wanakwambia ni extra gear. Sasa wewe kataa milele. Mimi nimekupa na evidence hapo juu. Na mimi sijaandika ili wewe ukubali. Sababu ukikataa au ukikubali haibadili ukweli. Ungenambia amekataa mtaalam wa magari sawa. Sasa unasema wewe member wa JF utakataa mpaka kesho. Hiyo itaathiri vipi ukweli? [emoji16]
Approximately 3mIle distance between two cars on a highway
Yeah, hiyo sasa, huwa inanizingua saa ingine nakuta nakaribiana sana na gari iliyoko mbele, nimekuwa nikifanya sana hivi na si ati nataka, bado sijajulia kujipa distance vizuri. Hii inakuajeApproximately 3m
Bora ununue manual tu ujue moja. Mambo ya kupiga mahesabu yote hayo yanachoshaHizo process za kukata kona nyingi sana.
Ubonyeze OD iwe Off. Then ukanyage brake, then ubadili gear kutoka D kwenda 2/3.
Mbona usumbufu Kama MANUAL Sasa?
Nmekuelewa mkuuBila kuchanganya ni hivi muda wote gari iwe 'D' basi na dashboard taa zote ziwe off. Overdrive 'OD' hii kawaida ikitokea unashusha mlima mkubwa na hutaki kutumia sana break kwa maana ukiweka D gear zinakuwa zinachange na gari ku speed inakufanya uwe unakanyaga break sasa ukitumia sana break zinaweza kupata moto, hapa ndio OD inakazi. kwa vipi ukiweka OD Off kwa maana taa itawaka ni kuwa gear haita switch kwenda number 4 itabaki gear kubwa katika speed kama ya gear number 2 au 3 gari itashuka taratibu kwa uzito ila kumbuka ukifika katika njia nzuri rudi D na weka OD on kwa maana dashboard taa zote ziwe off vinginevyo ukisahau gari itakula sana mafuta na kuharibu gearbox. Ukisahau kuitoa taa ya OD inakuwa kama gari manual umeweka gear number 3 halafu unakanyaga tu mafuta RPM inapanda lakini gear haubadilishi. ushauri muda wote 99% endesha D, hizo L2 ikitokea tu umekwama kwenye tope au mchanga ndio utumie D ikishindwa. OD epuka pia ikitokea tu mlima mkubwa sana unashusha na barabara zetu hatuna milima mikubwa kihivyo.
Kibongo bongo ukiwa katika foleni wewe tupia macho katika bonet gari ya mbele yako hakikisha unaona plate namba yake ila lami hauioni.Yeah, hiyo sasa, huwa inanizingua saa ingine nakuta nakaribiana sana na gari iliyoko mbele, nimekuwa nikifanya sana hivi na si ati nataka, bado sijajulia kujipa distance vizuri. Hii inakuaje
Sijui ni nn mnazungumzia ...hio D ukikanyaga sana inashusha gia yenyeweGari nyingi za automatic huwa zina gia 4 ukiacha ya reverse, O/D ikiwa off maana yake gari haitafikia ile top gear, yaani itajibadilisha hadi gia ya 3 tu basi haitazidi hapo.
Mara nyingi uatumia hii ikiwa unapandisha kamlima au unashuka hasa ukiwa unashuka ili gari isiwe na kasi kubwa na pengine ika over rev, yaani ikiwa inashuka unawesa kuta rpm zinakwemda hadi 5k na kama dereva haelewi anaweza sababisha matatizo kwa engine.
Vivyo hivyo L itaishia gia 1, 2 itaishia gia ya 2 na 3 itaishia ya 3 kama gari yako ina option hiyo, na hizo gear ni kubwa maana yake zina nguvu zaidi na zinakula mafuta pia, uyaona hata ukiziweka mshale wa rpm unaenda juu zaidi ya 3k kama unakanyaga mafuta sana, hivyo zitumie kama kwenye matope au mchanga na pengine kuvuta gari, ila kwa ujumla tumia kwa tahadhari na kwa kuelewa.
Matumizi ya gear hizi L na 2 hasa 2 pia ni kwenye overtaking, unapotaka kumpita mtu ukiwa kwenye D ni risk sababu unaweza kuwa gear ya juu mfano 3 au 4 halafu ukachukua muda kumpita, kumbuka unaempita pia hajasimama na anaenda, sasa ukishusha gear lever kwenye 2 gari itaongeza nguvu na kasi halafu ukishampita unarudisha kwenye D maisha yanaendelea.
I hope nitakua nimesaidia kufafanua.
Gari zenu ni za namna gani?? Nimeendesha auto nyingi sana ukiweka D inatosha...inapangua n kupanga when needed....ukikanyaga sana computer ina sense unataka kimbia kama ulikuwa eg 80kph no 4 ukakanyaga ghafla zaidi inashusha gia yenyewe engine inavuma ,, vitz,verosa,ist,gx110, xtrail,range rover , na mengineyo sasa hayo mengne sijui mnatoa wapMkuu labda mimi niseme hivi.
1. Gari ikiwa kwenye Overdrive off inachanganya faster sana kuliko ikiwa on. Shida tu muungurumo wa engine utakuwa juu na kama gari ina gear 4 maana yake utaishia kwenye gear namba tatu.
2. Kwa maana hiyo kama unamuovertake mtu aliye kwenye low speed utamuovertake faster overdrive ikiwa Off kuliko ikiwa On. Ila mtu akiwa speed 100kph hutomuovertake ikiwa umeweka Overdrive Off.
Overdrive kwenye manual ni ipi?Gari haiwezi kuwa na gear 4 halafu overdrive iwe ya 5. Hakuna kitu kama hicho. Hakipo. View attachment 1701304
Mfano hiyo picha ni gearbox ya A760E ambayo ina gear 6. Hizo gear sita zote wamekuonesha hapo na gear ratio zake. Gear za kawaida ni 1 mpaka 4. Na overdrive gears ni 5 na 6(ambazo zina gear ratio chini ya 1).
Ukiwa kwenye gear namba 6 ukaweka O/D off gari itarudi kwenye gear namba nne. Ndio maana unasema gari inakuwa nzito.
Lakini haimaanishi kwamba hiyo gearbox ina gear 6 halafu overdrive ni ya 7 hakuna kitu hicho.
Ukiambiwa gari ina gear 8 jua overdrive ipo ndani ya hizo gear 8.
Overdrive kwenye manual ni ipi?
Ukiendesha gari ikiwa kwa OD na isipokuwa kwenye OD kuna utofauti mkubwa tuGari zenu ni za namna gani?? Nimeendesha auto nyingi sana ukiweka D inatosha...inapangua n kupanga when needed....ukikanyaga sana computer ina sense unataka kimbia kama ulikuwa eg 80kph no 4 ukakanyaga ghafla zaidi inashusha gia yenyewe engine inavuma ,, vitz,verosa,ist,gx110, xtrail,range rover , na mengineyo sasa hayo mengne sijui mnatoa wap