Utaratibu ukoje kukata rufaa high court

Utaratibu ukoje kukata rufaa high court

Checnoris

Senior Member
Joined
Aug 21, 2022
Posts
123
Reaction score
269
Mgogoro wa Ardhi.
Jamaa amepewa ushindi mahakama kuu, awali nilishinda kesi mahakama ya Ardhi. Yeye alikimbilia high court, akapewa ushindi. Hapa natakiwa nifanyeje.
Msaada wa utaratibu. Ninahofia atakuja kubomoa nyumba yangu
 
Mgogoro wa Ardhi.
Jamaa amepewa ushindi mahakama kuu, awali nilishinda kesi mahakama ya Ardhi. Yeye alikimbilia high court, akapewa ushindi. Hapa natakiwa nifanyeje.
Msaada wa utaratibu. Ninahofia atakuja kubomoa nyumba yangu
Boss maelezo yako hayajakaa sawa
Aliyeshinda alifungua kesi mahakama ipi?
Na kama ni mahakama kuu imempa ushindi unachotakiwa wewe ni kukata rufaa mahakama ya rufaa

Lkn huwezi kukuta rufaa tu kuna utaratibu wa kisheria lazima ufuate
Kwanza uandaliwe notice of appeal
Pili uombe ruhusa ya rufaa kutoka Hc
Tatu utaandaa hoja za rufaa
Nne utaomba maombi ya zuio
 
Kiufupi, wewe ushindi wako Baraza la Ardhi umefitika kwa hukumu ya Mahakama Kuu. Unachoweza kuafanya ni kukata rufaa Mahakama ya Rufaa IWAPO TU, Kuna Suala ambalo Mahakama Kuu ilikosea kwenye tafasiri ya Sheria.

Hivyo, unatakiwa kuomba certificate ya kukata rufaa hiyo hapo hapo Mahakama Kuu Ili uweze kwenda kufungua rufaa hiyo Mahakama ya Rufaa.

Ikiwa Mahakama Kuu itakukatalia hiyo certificate, unaweza kuomba Moja kwa Moja Mahakama ya Rufaa pamoja na sababu.

Lakini, Si muyamalize tu kiundugu na kibinadamu? Maana naona una harufu ya kwenda kushindwa tena na kuna gharama za kesi!
 
Kiufupi, wewe ushindi wako Baraza la Ardhi umefitika kwa hukumu ya Mahakama Kuu. Unachoweza kuafanya ni kukata rufaa Mahakama ya Rufaa IWAPO TU, Kuna Suala ambalo Mahakama Kuu ilikosea kwenye tafasiri ya Sheria.

Hivyo, unatakiwa kuomba certificate ya kukata rufaa hiyo hapo hapo Mahakama Kuu Ili uweze kwenda kufungua rufaa hiyo Mahakama ya Rufaa.

Ikiwa Mahakama Kuu itakukatalia hiyo certificate, unaweza kuomba Moja kwa Moja Mahakama ya Rufaa pamoja na sababu.

Lakini, Si muyamalize tu kiundugu na kibinadamu? Maana naona una harufu ya kwenda kushindwa tena na kuna gharama za kesi!
Yule aliyeshinda Mahakama Kuu hawezi kubali, maana na yeye alivyo shinda Baraza la Aridhi alikataa kuyamaliza ki ndugu! Patamu hapo!!
 
Kiufupi, wewe ushindi wako Baraza la Ardhi umefitika kwa hukumu ya Mahakama Kuu. Unachoweza kuafanya ni kukata rufaa Mahakama ya Rufaa IWAPO TU, Kuna Suala ambalo Mahakama Kuu ilikosea kwenye tafasiri ya Sheria.

Hivyo, unatakiwa kuomba certificate ya kukata rufaa hiyo hapo hapo Mahakama Kuu Ili uweze kwenda kufungua rufaa hiyo Mahakama ya Rufaa.

Ikiwa Mahakama Kuu itakukatalia hiyo certificate, unaweza kuomba Moja kwa Moja Mahakama ya Rufaa pamoja na sababu.

Lakini, Si muyamalize tu kiundugu na kibinadamu? Maana naona una harufu ya kwenda kushindwa tena na kuna gharama za kesi!
Hivi Baraza la Aridhi nalo huwa lina tafsiri Sheria!? Au wao wanaamua kutokana na wanavyotaka wao!!??
 
Back
Top Bottom