Utaratibu wa bodi ya mikopo unawakwamisha watoto wa masikini kujiunga vyuoni haraka

Booy Rakr

New Member
Joined
May 31, 2013
Posts
1
Reaction score
0
Mi cjui! kama ni utaratibu wa vyuo vyote nchini au baadhi.Unasifa ulipe kwanza kujiunga badae Bodi itakufinance.Je? haiwakoseshi nafasi masikini na kupoteza muda hata kukata tamaa.
 
Nimekuelewa ila rudia kuandika vizuri ili nichangie hoja kwa ufasaha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…