Utaratibu wa detention ulikuwa ni utaratibu bora kuliko huu uliopo sasa

Utaratibu wa detention ulikuwa ni utaratibu bora kuliko huu uliopo sasa

Crocodiletooth

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2012
Posts
20,561
Reaction score
24,428
Kwa sisi wa kitambo kidogo wakati wa mwalimu sote tunaukumbuka utaratibu wa detention.

Ilikuwa endapo umeikera serIkali basi kilichokuwa kikifanyika ni kukukamata kwa siri na kukuficha pahala.
Basi huko utasoma magazeti, utasikiliza radio, utakula vizuri kweli lakini ulipo, raia wa kawaida hawafahamu.

Basi utakaa humo weee mpaka mamlaka ikiona sasa inatosha inakuachia. Haikupeleki mbugani hapana, unaachwa katikati ya jiji ghafla uende zako.

Kidogo kulikuwa na utu. Hii piga, ua, toa macho, "ahhaa ahhaa hapana, kwa kweli"

#Nimemalizia kwa lugha ya mpendwa wetu.
 
Kwa Sisi wa kitambo kidogo wakati wa mwalimu sote tunaukumbuka utaratibu wa detention, ilikuwa endapo umeikera serekali basi kilichokuwa kikifanyika ni kukukamata kwa siri na kukuficha pahala, basi huko, utasoma magazeti, utasikiliza radio, utakula vizuri, kweli, lakini ulipo raia wa kawaida hawafahamu, basi utakaa humo weee, mpaka mamlaka ukiona sasa inatosha inakuachia, haikupeleki mbugani hapa, unaacha katikati ya jiji ghafla, uende zako!, kidogo kulikuwa na utu, hii piga, ua, toa macho, "" ahhaa ahhaa hapana, kwa kweli""
#Nimemalizia kwa lugha ya mpendwa wetu.
Detention ilikuwa ni kwa watu threat tena wahaini siyo huu upumbavu unaofanyika sasa.

Wahaini wa sasa hivi wapo ccm, wanapanga kuwa marais wakati kuna Rais madarakani mbona hawawapotezi hao wahaini waliopo ccm?
 
Detention ilikuwa ni kwa watu threat tena wahaini siyo huu upumbavu unaofanyika sasa.

Wahaini wa sasa hivi wapo ccm, wanapanga kuwa marais wakati kuna Rais madarakani mbona hawawapotezi hao wahaini waliopo ccm?
Detention ilikuwa kwa wote, wanaokera serekali ya wakati huo, wakiwepo wahaini,haya maroho ya kiuaji sijui yanatoka wapi!, unamwaga damu. Allah atunusuru.
 
'Detention' ilikuwa inafanyiwa watu wenye relevance, real threat na effect. Mf. Ndugai na Kapilimba.

Huu uhaini wa sasa hivi ni kama fungulia mbwa. Kwa wale wachache wenye madaraka wanatumia uuaji kama means ya kudhibiti 'threat' ambayo kiuhalisia hiyo 'threat' haina formula maalum kuihalalisha iwe 'threat'.

Ikiwa umemchukulia mwenye mamlaka demu wake na ukawa una vi followers elfu kadhaa kwenye social media basi unaangamizwa kwa kisingizio wewe ni 'threat'.

The real threat in all this ni mamlaka ya juu kabisa. Amehisi kuna uhalali wa watu wanaokinzana na sera/maslahi yake waangamizwe kupelekea kutengeneza loop hole ya watu kulipiziana visasi/kutesana/kutimiza dhamira zao mbovu.
In short kumetengenezwa kitengo cha 'hitmen' to be used by the highest bidder.
 
Detention ilikuwa inafanyiwa watu wenye relevance, real threat na effect. Mf. Ndugai na Kapilimba.

Huu uhaini wa sasa hivi ni kama fungulia mbwa. Kwa wale wachache wenye madaraka wanatumia uuaji kama means ya kudhibiti 'threat' ambayo kiuhalisia haina formula maalum.

Ikiwa umemchukulia mwenye mamlaka demu wake na ukawa una vi followers elfu kadhaa kwenye social media basi unaangamizwa kwa kisingizio wewe ni 'threat'.

The real threat in all this ni mamlaka ya juu kabisa. Amehisi kuna uhalali wa watu wanaokinzana na sera/maslahi yake waangamizwe kupelekea kutengeneza loop hole ya watu kulipiziana visasi/kutesana/kutimiza dhamira zao mbovu.
In short kumetengenezwa kitengo cha 'hitmen' to be used by the highest bidder.
Well Said
 
Kwa Sisi wa kitambo kidogo wakati wa mwalimu sote tunaukumbuka utaratibu wa detention, ilikuwa endapo umeikera serekali basi kilichokuwa kikifanyika ni kukukamata kwa siri na kukuficha pahala, basi huko, utasoma magazeti, utasikiliza radio, utakula vizuri, kweli, lakini ulipo raia wa kawaida hawafahamu, basi utakaa humo weee, mpaka mamlaka ukiona sasa inatosha inakuachia, haikupeleki mbugani hapana, unaachwa, katikati ya jiji ghafla, uende zako!, kidogo kulikuwa na utu, hii piga, ua, toa macho, "ahhaa ahhaa hapana, kwa kweli"

#Nimemalizia kwa lugha ya mpendwa wetu.
Sheria hiyo bado ipo, na ni mamlaka ya Rais tu.
Au kuna ile ya kuzuiwa usitoke nje ya wilaya yako..
Wakati mwingine waliwahi kuhamishwa wakazi wa kijiji kizima toka mkoa mmoja kwenda mwingine!
 
Sheria hiyo bado ipo, na ni mamlaka ya Rais tu.
Au kuna ile ya kuzuiwa usitoke nje ya wilaya yako..
Wakati mwingine waliwahi kuhamishwa wakazi wa kijiji kizima toka mkoa mmoja kwenda mwingine!
Kama ipo iboreshe na itumike, ni njema tu, na haitoi roho, haiumizi haiuwi, inafundisha kwa aina yake!
# Katika maisha epuka kumwaga damu, aidha kusababisha umwagaji wa damu, Damu ya binadamu siyo ya ngombe au mbuzi, SISI MA- ULAMAA TUNAJUA MENGI SANA SHEIKH, DAMU INATENGENEZA EXISTENCE SIN/ENDLESS AMBAYO ITAKUJA TU KU BACK-BITE
.
 
Back
Top Bottom