Utaratibu wa kiongozi wa nchi kuongea na wananchi wake umepotelea wapi?

Utaratibu wa kiongozi wa nchi kuongea na wananchi wake umepotelea wapi?

Noel france

JF-Expert Member
Joined
Oct 8, 2012
Posts
1,104
Reaction score
917
Walau kulikuwa na baadhi ya mitazamo - ilikuwa inarekebishwa kwa jamii na kuwa mitazo + na ufafanuzi mingi walikuwa wanajaribu kurekebisha kupitia hotuba za mwisho wa mwezi
 
Pia zilikuwa zinafanya nitege alarm kuhofia kupitwa na hotuba za amiri jeshi mkuu
 
Back
Top Bottom