Half Genious
JF-Expert Member
- Feb 28, 2017
- 491
- 784
Andaa 5% ya thamani ya mzigo kulipa TRA upande wa kule na 18% VAT inatozwa na ZRB. Sijajua kuhusu ZFDA na wizara ya kilimo kama watatoza kituHabari wadau nataka kupeleka mafuta ya kula ya alizet zanzibar , binafsi sijawahi kupeleka kitu zenji ila nasikia bidhaa hutozwa kodi nataka nijue kama mafuta ya kula yana utaratibu gani na kodi zinakokotolewa kwa kanuni gani!
Ntashukuru sanaNitakuulizia mkuu, maana nipo Zanzibar kikazi
Duh...nchi moja hii??Andaa 5% ya thamani ya mzigo kulipa TRA upande wa kule na 18% VAT inatozwa na ZRB. Sijajua kuhusu ZFDA na wizara ya kilimo kama watatoza kitu
UTUPE MREJESHO TUJUE WOTENitakuulizia mkuu, maana nipo Zanzibar kikazi