Utaratibu wa kuanzisha/kusajili Saccos ukoje?

Mrimi

JF-Expert Member
Joined
Jul 18, 2011
Posts
1,691
Reaction score
640
Wakuu naomba kufahamishwa utaratibu kuwa kuanzisha na kusajili saccos ama kikoba..

Kwa maana ya idadi ya wanachama na vigezo muhimu vinavyozingatiwa kupata usajili.

Naomba kuwasilisha..
 
Iyo biashara kwa Usawa huuu, utapoteza mtaji wako. Maana matapeli wanatapeli sana watu
 
Wakuu naomba kufahamishwa utaratibu kuwa kuanzisha na kusajili saccos ama kikoba..

Kwa maana ya idadi ya wanachama na vigezo muhimu vinavyozingatiwa kupata usajili.

Naomba kuwasilisha..
Idadi ya wanachama kwa mujibu wa sheria ni watu 20, mnaandika katiba then mnamwalika afisa ushirika siku ya ufunguzi anawapa taratibu nyingine
 
Mwone afisa ushirika wa wilaya ulieko atakupa msaada wote unaotaka juu ya kuanzisha sacco
 
Saccoss na vicoba ni vitu viwili rofauti japo vinaendana kimalengo,...sasa ww unataka kuanzisha nini hasa,au unataka vyote kwa pamoja!?
 
Saccoss na vicoba ni vitu viwili rofauti japo vinaendana kimalengo,...sasa ww unataka kuanzisha nini hasa,au unataka vyote kwa pamoja!?

Huenda nikawa sielewi sawasawa,ila ninahitaji kuanzisha kiutaratibu fulani hivi kinachowezesha watu kuweka na kukopa kuasi fulani cha pesa.

Kwa faida ya wengine,ingependeza zaidi kama ungetufafanulia tofauti ya vikoba na saccos.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…