Utaratibu wa kufuata ili ufanye biashara ya kutuma fedha kwa mtandao

Utaratibu wa kufuata ili ufanye biashara ya kutuma fedha kwa mtandao

fimboyaasali

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2011
Posts
8,617
Reaction score
8,244
Nina kibiashara cha mini super market sasa nataka kufanya biashara ya malipo kwa mtandao yaani mpesa,tigo pesa,eatel money na kuwa wakala wa luku,mwenye ujuzi na haya mambo anishauri nianzie wapi au nifanyeje
 
leseni ya biashara, id yako, TIN number, ukishakuwa na vitu hivi, tigo wanataka 1m Tshs, voda andaa 150,000 Tshs! Hizo zingine sina details, kwa msaada zaidi ni-pm!
 
Back
Top Bottom