Utaratibu wa kufuata kuahirisha mafunzo ya JKT kwa mujibu wa sheria

mlinda junior

Member
Joined
Jun 11, 2015
Posts
14
Reaction score
0
Wakuu mi ni mhitimu wa kidato cha sita.

Nimeshndwa kwenda kwenye kambi nliyopangiwa kutokana na hali ngumu ya kimaisha, najsomesha hapa nlikuwa natafuta hela ya kuomba mkopo.

Bado wazazi wangu nao wananitegemea kwani ni wazee, naomba ushauri taratibu za kuahirisha!
 
wewe kausha tu kwanza ajira za government zimeisha.
wanapeana wenyewe kwa wenyewe.
 
andka barua afu uende stationery waiscan then wai2me kwenye email ya info@jkt.org.tz! mm pia nliahrsha mwaka jana na walielekeza 2fanye hvyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…