Paa
JF-Expert Member
- Jun 12, 2015
- 1,462
- 2,935
Kwema?
Wazee na mabibi, nina maswali kadhaa kwenu
1.Je farasi wanaruhusiwa bongo kutumika kama usafiri?
2.Taratibu gani ninatakiwa kufuata ili nami nimiliki farasi wangu?
3.Hapa bongo wanapatikana wapi, na kwa gharama gani?
4.Kama leseni inatakiwa, farasi wangu ninatakiwa kumkatia daraja lipi?
[emoji120]
Wazee na mabibi, nina maswali kadhaa kwenu
1.Je farasi wanaruhusiwa bongo kutumika kama usafiri?
2.Taratibu gani ninatakiwa kufuata ili nami nimiliki farasi wangu?
3.Hapa bongo wanapatikana wapi, na kwa gharama gani?
4.Kama leseni inatakiwa, farasi wangu ninatakiwa kumkatia daraja lipi?
[emoji120]