Habari zenu wadau,naomba kuuliza ni hatua gani mtu asiyekuwa na cheti cha kuzaliwa anaweza fuata ili apate na gharama ni shi ngap kupata hicho cheti makao makuu na itachukua muda gani?,thanx kwa ushauri wenu ndugu!
Habari zenu wadau,naomba kuuliza ni hatua gani mtu asiyekuwa na cheti cha kuzaliwa anaweza fuata ili apate na gharama ni shi ngap kupata hicho cheti makao makuu na itachukua muda gani?,thanx kwa ushauri wenu ndugu!