Moja moja niende kwenye mada, naomba kuuliza utaratibu wa kufungua sheli ukoje?
Nahitaji vibali kutoka taasisi ipi na ipi? Na je inaruhusiwa kufungua sheli katikati ya makazi ya watu?
Nauliza hivi kwasababu kuna sheli nimeiona njia ya kuelekea chuo kikuu UDSM kule Ubungo Msewe ipo katikati ya makazi ya watu.
Je hii sio hatari kwa usalama wa watu.?
Najiuliza mengi mf. malori yanayofanya refueling yatapita njia gani na nguzo za Tanesco ziko chini chini kabisa..