Mhe. Rais tunakushukuru kwa tamko lako kuwa ukaguzi wa magari utarudi kama zamani. Naomba amri hii ingeanza hata leo.
TBS wamekuwa wanatumia nafasi zo vibaya kwa kuwatesa wananchi wanapofuata magari yao Bandarini.
Asilimia karibu 98 ya wateja hawajatoka bure bila kuambiwa kuwa gari yako ina kasoro na baada ya kuambiwa hivyo lazima ujiongeze.
Kwa kweli wametesa sana wateja. Fedha ambazo zimeingia mifukoni mwao tangu utaratibu huu uanze zinaweza kujenga vituo vya Afya hata mia moja.
TBS wamekuwa wanatumia nafasi zo vibaya kwa kuwatesa wananchi wanapofuata magari yao Bandarini.
Asilimia karibu 98 ya wateja hawajatoka bure bila kuambiwa kuwa gari yako ina kasoro na baada ya kuambiwa hivyo lazima ujiongeze.
Kwa kweli wametesa sana wateja. Fedha ambazo zimeingia mifukoni mwao tangu utaratibu huu uanze zinaweza kujenga vituo vya Afya hata mia moja.