Utaratibu wa kunyanganya ardhi iliyomilikishwa na serikali ya kijiji.

Gwaje

JF-Expert Member
Joined
Nov 4, 2010
Posts
299
Reaction score
85
Wakuu naomba msaada wa namna ya kufuata ili kunyanganywa ardi na serikali ya kijiji maana wameninyanganya shamba langu na hivyo nataka kujua iwapo taratibu stahiki zimefuatwa maana siku wepo nimekutana na hali hiyo
 
Pole sana ndugu kwanza ntakwambia kuwa ardhi yote ya taifa hili ipo chini na uangalizi wa rais na kwa maana nyingine kiujumla mamlaka ipo kwa serikali.
Sasa nataka kujua hiyo ardhi uliipataje!?
Je una vibali (ushahidi) vya miliki ya hiyo ardhi!?
Pindi shamba lako linachukuliwa ulikuwa nje ya milki yako kwa mda gani!?
Je ulishapewa taadhali kutoka serikalini kuhusiana na uchukuzi wa ardhi yako!?
Je ushaambiwa madhumuni au lengo au sababu ya kuchukua shamba lako!!?
NDUGU UKINIJIBU HAYA MASWALI YOTE TUTAPATA UFUMBUZI!!Pole Sana! KARIBU
 
 
Hapa sasa nadhan tunawrza kwenda pamoja na wadau wengine wanaweza kusaidia hapa.
Kama mauziano.ya ardhi yalikuwa ya halali nadhani wewe tayari n mmiliki husika wa hilo eneo.
Kama hoja ni kuchukua hiyo ardhi kisa haijaendelezwa aomba uweke wazi hapa shamba lako tangu umenunua umefanya shughuli gani za kimaendeleo katika hilo eneo!?
Upande wa serikali ya vijiji hawajafuata taratibu ya kukupa kibali cha nia ya kunyanganya ardhi na hiyo ni ukiukwaji wa taratibu na tendo hilo linaweza kukupa ahuweni lakini naomba ujibu kwanza swali hapo juu!!
 

Ndg shamba hili limeanza kufyekwa kwa kama ekari 15 hivi u kijiji kilitoe kwa mmiliki wa kwanza. Naomba nikushukuru kwa kuamua kunisaidia mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…