Utaratibu wa kuomba faili la kesi mahakamani

Utaratibu wa kuomba faili la kesi mahakamani

Joined
Jul 8, 2020
Posts
17
Reaction score
21
Kwanza kabisa natanguliza shukrani
Nina kesi ya madai mahakama ya wilaya lakini kwa bahati mbaya mwisho wa kesi ikagundulika imekosewa jina la mdaiwa ikabidi isimame utekelezaji wake.sasa mimi ninataka nifungue kesi upya.Lengo la kuja hapa wadau ninaomba kujua utaratibu na jinsi ya kupata vielelezo vilivyo kwenye faili la kesi.Asante
 
Kwanza kabisa natanguliza shukrani
Nina kesi ya madai mahakama ya wilaya lakini kwa bahati mbaya mwisho wa kesi ikagundulika imekosewa jina la mdaiwa ikabidi isimame utekelezaji wake.sasa mimi ninataka nifungue kesi upya.Lengo la kuja hapa wadau ninaomba kujua utaratibu na jinsi ya kupata vielelezo vilivyo kwenye faili la kesi.Asante
Kwanini unataka kufungua case upya?
 
Kwanza kabisa natanguliza shukrani
Nina kesi ya madai mahakama ya wilaya lakini kwa bahati mbaya mwisho wa kesi ikagundulika imekosewa jina la mdaiwa ikabidi isimame utekelezaji wake.sasa mimi ninataka nifungue kesi upya.Lengo la kuja hapa wadau ninaomba kujua utaratibu na jinsi ya kupata vielelezo vilivyo kwenye faili la kesi.Asante

Samehe, endelea mbele, itakusaidia
 
Hii Elimu imfikie asije sema yangu...


Umeteuliwa kuongoza Wizara Mama ya Shimo lisilojaa - Kijana aliyechahuliwa kajenga nyumba nzuri sana
2101b89a9b9ba5860ebb43650f9c53ec.jpeg
 
Back
Top Bottom