Utaratibu wa kupewa kombe kabla..

yahoo

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2011
Posts
3,526
Reaction score
1,409
Ninashauli mechi ijayo yanga icheze kombe likiwa uwanjani kusudi wakishinda wapewe kombe lao kama wanavyofanya ndugu zetu wa uingereza kwenye ligi yao pale bingwa anapofikisha pointi ambazo hakuna anayeweza kuzifikia....
 
Swadakta mkuu umetoa ushauli muafaka kabisa
 
Mkuu kuna watu unawaumiza roho humu. Angalia wasije kujinyonga bure. Yanga kama chelsea tu.
 
Mkuu kuna watu unawaumiza roho humu. Angalia wasije kujinyonga bure. Yanga kama chelsea tu.

Utaratibu huu haupo kwaajili ya kuwaumiza watu ni protocals tu
 
Unataka kusema wale wenzetu pale jirani ndio wanaumia roho😀😀::thumbup:
 
La kuvunda halina ubani. Uchizi ni kujitakia tu; Hivi si wale jamaa flani wekundu walisema atii tupo tayari kuukosa ubingwa lakini tusifungwe na hawa Yanga? kweli yamekuwa na sasa sijui faida ni kufunga Yanga au kuwa bingwa? Hapo ni nani kafungwa? Aliyeutwaa ubingwa au aliyefungwa akatwaa uningwa na aliyefunga mabao yasiyo na mwelekeo na kuukosa ubigwa???
 
Mnajitekenya na kucheka wenyewe team kandambili
 

Wakiisha mfunga Yanga roho zao kwatu mengine kwao hayana maana.
Mwakani mwendo huo huo.
Yanga anachukua ubingwa wa 25! Aliyekaribu anabaki na 18. Kuikamata Yanga labda karne ijayo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…