Nimekuwa nafuatilia comment nyingi za wazungu waliopo ulaya na US .
Wao huingia mkataba na mteja na ķuwa analipa kidogo kidogo kwa muda .na wengi hununua simu mpya kabisa kulingana na makubaliano .
Njia hii nimeipenda kwani hufanya mtu anunue blanded new phone kwa mkataba bila maumivu.
Hivi wenye mabenk hamlifikirii hili kulianzisha mkiingia mikataba na makampuni ya simu.
MAWAZO YANGU.