JamiiTalks
JF Advocacy Team
- Aug 7, 2018
- 685
- 1,124
Ibara ya 54 ya Sheria ya Taifa ya Uchaguzi Sura ya 343 inamruhusu mtu anayeshindwa kupiga kura kutokana na sababu za ulemavu au kutojua kusoma na kuandika
(a) Kumchagua mtu yeyote anayemwamini, tofauti na afisa anayesimamia uchaguzi, kumsaidia kupiga kura
(b) [Mpiga kura mwenye ulemavu wa macho] kumuomba afisa anayesimamia uchaguzi kumsaidia kutumia karatasi maalum itakayomwezesha kumchagua mgombea anayeona anafaa kwa njia ya kupapasa
Upvote
0