presidentudom
Member
- Sep 22, 2014
- 21
- 7
Sasa mm ntajuaje kama nmechaguliwa chuo gan na nimejaza vyuo vitano.
Sasa mm ntajuaje kama nmechaguliwa chuo gan na nimejaza vyuo vitano.
kwahyo wewe hapo perezdaa unayo majina tayari?
haha ha ha ha daaah ngoja nicheke 2 maana "lakuambiwa chananganya na....,
Sasa mm ntajuaje kama nmechaguliwa chuo gan na nimejaza vyuo vitano.
Prezdaa vp wale waliochaguliwa kusomea hapo udom odse mbn chuo hakija toa maelekezo pia hata bodi ya mikopo pia bdo haijatoa maelekezo?????????????????
utaangalia kwenye profile yako itaonyesha chuo kimoja unachoenda