Utaratibu wa leo kuingia uwanja wa Taifa ulikuwa kero kubwa na aibu kubwa

Malinzi kakosa mapato y bureee

Sent from my TECNO-C5 using JamiiForums mobile app
 
Siku ikija Man U sijui itakuwaje afu ndio ivheze na Simba watu watakesha Taifa wakiwasubri
 
Ndio maana wajanja wengi wanawai mapema kama unataka kuingia kwa amani uwanja wetu wa TAIGA
 
Watu wanalaumu bure, hivi mnadhani ni kazi rahisi kuwakagua kwa wakati mmoja zaidi ya mashabiki elfu 5 mliokua nje?
Mtu ajua mechi saa 11 yeye anafika saa 10 wakati kuna walioingia tangu saa 8, na ukitaka usipate kero ya kuingia taifa wakati wa mechi kubwa fika saa 3 kabla ya mechi.
 
Kweli leo taiga kumeboa na mamashine yao ya enzi za wahenga huko ulaya
 
Sio uwanja wa taiga tu hata kule kwenye kumuaga Seth MC alitishia kutembeza virungu endapo watu wangeleta vurugu.

Senti furomu mai tekino wereva yuzingi jamii foramu mobaili apu
 
Aah bahati nzuri vyombo vya habari vimeripoti kwamba mechi imechezewa Nairobi city stadium so ni aibu kwa wakenya teh!

Sent from my itel_it1503 using JamiiForums mobile app
 

Siku nyingine wahi kufika uwanjani... Na vile vile wahi kutoka..
Virungu utavisikia tu kwa wachelewaji..!!
 
Siku nyingine wahi kufika uwanjani... Na vile vile wahi kutoka..
Virungu utavisikia tu kwa wachelewaji..!!
Wanapaswa kuweka utaratibu mzuri, yaani tuaxhe kazi za kuongeza kipato kisa kuwahi uwanjani?
 
Unaonekana sio muendaji wa mechi kubwa.
Mechi imeanza saa 11,wenzako wameacha mambo yao saa8 wapo ndani ilikukwepa usumbufu
Mechi karibu zote kubwa na ndogo nahudhuria Taifa na vurugu huwa zipo tu.

Ni mechi moja tu Brazil na Tanzania ndiyo ilikuwa shwari kwasababu viingilio vilikuwa vikubwa sana na uwanjani watazamaji tulikuwa wachache.
 
Siku nyingine wahi kufika uwanjani... Na vile vile wahi kutoka..
Virungu utavisikia tu kwa wachelewaji..!!
Haitikiwi kuwa hivyo...hizo changamoto lazima tuzimalize.

Kwanini wajenzi waliweka mageti mengi ya kuingia? Halafu sisi tunatumia mageti 2 tu
 
Tarimba ananifanya ajaliona hili japo ni la watu wa uwanja ilibid aseme kitu

Sent from my SM-G935F using JamiiForums mobile app
 
Mechi karibu zote kubwa na ndogo nahudhuria Taifa na vurugu huwa zipo tu.

Ni mechi moja tu Brazil na Tanzania ndiyo ilikuwa shwari kwasababu viingilio vilikuwa vikubwa sana na uwanjani watazamaji tulikuwa wachache.
Kumbe majibu unayo,huna haja ya kulia lia.Bure siku zote huwa ghali
 
Kumbe majibu unayo,huna haja ya kulia lia.Bure siku zote huwa ghali
Issue siyo kuwa na majibu bali hatutaki hayo ndiyo yawepo kila siku ktk mfumo wa mpira uwanja wa Taifa.

Tumeenda Ulaya ujinga huu haupo hata ziwe mechi kubwa kiasi gani uiingiaji uwanjani huwa shwari tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…