Trubetzkoy
JF-Expert Member
- Oct 31, 2018
- 349
- 678
Habari za wakati huu ndugu Watanzania!
Yahusu kuomba kufahamishwa juu ya utaratibu wa uongezaji mishahara kwa watumishi wa serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.
Ndugu, nimekuwa nikisikia kuwa mishahara ya watumishi wa serikali huwa inaongezeka kila baada ya muda fulani.
Ningependa kujua ni kwa muda gani mshahara unapaswa kuongezeka na ni ongezeko kiasi gani linatarajiwa na mtumishi let's say mwalimu mwenye basic salary ya 750,000.
Yahusu kuomba kufahamishwa juu ya utaratibu wa uongezaji mishahara kwa watumishi wa serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.
Ndugu, nimekuwa nikisikia kuwa mishahara ya watumishi wa serikali huwa inaongezeka kila baada ya muda fulani.
Ningependa kujua ni kwa muda gani mshahara unapaswa kuongezeka na ni ongezeko kiasi gani linatarajiwa na mtumishi let's say mwalimu mwenye basic salary ya 750,000.