Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 239
Nauliza naomba kufahamishwa:
Hivi jeshi letu la polisi huwa halina utaratibu/kanuni rasmi ya namna kumkamata (Arrest) mtu au mtuhumiwa, au hata kumwita afike kituoni.
Jee huu mtindo wanatumia sasa hivi wa kumtaka mtuhumiwa ajisalimishe ni sahihi? Au kumtaka raia yoyote afike kituoni kusaidia polisi ni sahihi?
Ninavyojua, labda uelewa wangu mdogo, ni kwamba kuna utaratibu wa kutia mbaroni mtu kwamba lazima polisi awe na arrest warrant na mtuhumiwa anaambiwa kosa lake hapo hapo. Au kinakuwapo kitu kiitwacho summons kuitwa shaurini.
Inawezekana polisi wanakalia kuburuza buruza tu raia kwa sababu raia hawajui rights zao?
Hivi jeshi letu la polisi huwa halina utaratibu/kanuni rasmi ya namna kumkamata (Arrest) mtu au mtuhumiwa, au hata kumwita afike kituoni.
Jee huu mtindo wanatumia sasa hivi wa kumtaka mtuhumiwa ajisalimishe ni sahihi? Au kumtaka raia yoyote afike kituoni kusaidia polisi ni sahihi?
Ninavyojua, labda uelewa wangu mdogo, ni kwamba kuna utaratibu wa kutia mbaroni mtu kwamba lazima polisi awe na arrest warrant na mtuhumiwa anaambiwa kosa lake hapo hapo. Au kinakuwapo kitu kiitwacho summons kuitwa shaurini.
Inawezekana polisi wanakalia kuburuza buruza tu raia kwa sababu raia hawajui rights zao?