#COVID19 Utaratibu wa uendeshaji vikao vya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ili kupambana Maambukizi ya COVID-19

Hadi wao wameanza kuogopa korona?

Unafiki hautaisha hapa Duniani.

Sasa wananchi hawawaelewi tena. Acha waeleweke kwa Wazungu huko.

Korona hii ndo imefanya Marais wengi kupigwa chini kwenye chaguzi huko Duniani.
 
Hivi kweli wazungu wanataka kutuua si wangetuletea chanjo ya ukimwi?ya nini kuhangaika na makorona? Tena ya ukimwi ndio kila mtu huku afrika angeigombea?
Tafakari nenda kachanje, achana na wapuuzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…